Mkuu unataka gwanda la khaki au jeusi ?Hii ndio falsafa ambayo mlitakiwa msimame nayo.
Nia thabit kupinga ufisadi.
Kwenye sakata la bandari mpaka sasa mmeonyesha hamtaki mali za Watanganyika kuibiwa. Mmeweka kando utamu wa asali na kukomaa.
HakikaCHADEMA haikuwahi kulamba asali ni hofu zenu tu lakini Kila mwenye akili alikua anajua ni suala la muda tu mtaona msimamo wao kwenye maslahi ya nchi.
Kuhusu nini ?Wamefanyaje?
Naona umesahau kuwa chadema ndiyo walitunga pambio la mama anaupiga mwingi. Sasa akili zimewarudia wakagundua kumbe mama mwenyewe anapiga ugoko tu.CHADEMA haikuwahi kulamba asali ni hofu zenu tu lakini Kila mwenye akili alikua anajua ni suala la muda tu mtaona msimamo wao kwenye maslahi ya nchi.
Wewe kila siku na Cdm. Unasahau ni Ccm yako ndiyo iliyofanya vikao dodoma kuidhinisha udhalilishaji huu dhidi ya Tanganyika .Hii ndio falsafa ambayo mlitakiwa msimame nayo.
Nia thabit kupinga ufisadi.
Kwenye sakata la bandari mpaka sasa mmeonyesha hamtaki mali za Watanganyika kuibiwa. Mmeweka kando utamu wa asali na kukomaa.
Sio kweli, CHADEMA ilimsifia Samia kwenye demokrasia maana Kwa Hilo kamzidi JPM kwa mbali sana. Ila mengine yote alikua anakosolewa sana tu hata huyo Mbowe si ndio alisema ufisadi awamu ya Samia umezidi awamu zote? Sasa ni lini alilamba asali?Naona umesahau kuwa chadema ndiyo walitunga pambio la mama anaupiga mwingi. Sasa akili zimewarudia wakagundua kumbe mama mwenyewe anapiga ugoko tu.
Kwa hili hata mimi nawapongeza kwa kusimama upande wa maslahi ya taifa. Na bado, makamu mwenyekiti sasa hivi hamalizi hotuba bila kumpa maua yake mwamba, mtamkubali tu.
Kibuyu cha asali tupa kuleeee.