Mimi siwapongezii. Maaana kuwaweka wazi na Sera zao wapinzani wetu wa mwaka huuu, nikuwaaibishaa zaidiii, maana kwa haya yaliyooneshwa na ITV yakitamukwa na huyo mgombea wa chadema, mmmmmmkh kwakwelii hawezi kampeniii. Yaaanii, badala ya kuzungumzia kero za watanzania, zaidi tumefafanuliwa misitari ya biblia, maana yakee tulikuwa kwenye mkutano wa injiriii. Haaaaa haaaa
Ha ha ha ha ha.Nahisi kuna 'Invoice' ya 'Madeni' yao makubwa inaandaliwa sasa na 'TRACCM' na itapelekwa Kesho hivyo tegemea tu kuwaona 'wakibadilika' rasmi.
OkMimi siwapongezii. Maaana kuwaweka wazi na Sera zao wapinzani wetu wa mwaka huuu, nikuwaaibishaa zaidiii, maana kwa haya yaliyooneshwa na ITV yakitamukwa na huyo mgombea wa chadema, mmmmmmkh kwakwelii hawezi kampeniii. Yaaanii, badala ya kuzungumzia kero za watanzania, zaidi tumefafanuliwa misitari ya biblia, maana yakee tulikuwa kwenye mkutano wa injiriii. Haaaaa haaaa
Nahisi kuna 'Invoice' ya 'Madeni' yao makubwa inaandaliwa sasa na 'TRACCM' na itapelekwa Kesho hivyo tegemea tu kuwaona 'wakibadilika' rasmi.
Jifarijiniiii tuuuu, ila haliyenuu mbayaaa saanaaKwa kujitekenya huku, afisa kipenyo daraja gani mkuu?