Political asylum: Walioshiriki kutaka kumuua Dr Ulimboka

... so an intelligent piece of thought and advice to that end!!!!!!!!!! Let them act now or wait out there to be killed by their own master for a failed mission.

Great Thinkers,
Naamini JF ni kisima cha busara na darasa kwa watanzania wote. Ni imani yangu wale wote waliohusika na jaribio la kutaka kumuua Dr Ulimboka wanapita JF na kusoma update ya nini kinaendelea. Asilimia 99.9% ya watanzania mpaka sasa tunaamini serikali ndiyo imehusika kwa huu unyamana na ni vigumu kutushawishi. Ningeshauri wahusika waliohusika na hili tukio watueleze kilichopo nyuma ya pazia, ila kwa kulinda usalama wao nashauri wafanye hivyo kwa kuzingatia yafuatayo.
  1. Watafute ukimbizi wa kisiasa kwa kwenda kwenye balozi za nchi za nje, haswa zinazoaminika kwa kulinda haki za binaadamu, na wakiwa huko waeleze kilichotokea kwa kutumia vyombo vya habari.
  2. Kama wewe ni polisi/usalama wa taifa unayo haki ya kwenda balozi yeyote (Mfano Ubalozi wa Norway, UK, Canada, USA, Danmmark, etc).
  3. Fanyeni hivyo bila kuongopa. Mtatusaidia sana watanzania, wakati wa ukombozi ni sasa.
  4. Nawasilisha
 
Back
Top Bottom