Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Waende Pemba mashamba yako mengi tuuu na waPemba nijuavyo wako very humble watawapa tuuu maeneo wajenge hayo Makanisa
hayati Abeid karume alitaifisha ardhi zote za mkoloni baada ya mapinduzi inawezekana kuwa hiyo Ardhi wanaosema kuwa ni yao Kanisa la Anglikana walipatiwa na Wakoloni sio!!
Kibunango kawambie babu zako wasiweke nia na matumaini ya kupewa hiyo Ardhi kitu hicho wasahau kabisa!!!!
any way Zanzibar ni nchi ya Waislamu 99% ya raia wake ni Waislam.....Makanisa yaliyojengwa yanatosha kwa Wageni waliopo zanzibar...Wa Zanzibar hawataki tena kujengwa Makanisa katika nchi yao kwa sababu hayana faida yeyote kwa taifa lao na watu wao!!!!!ainkiller:
hayati Abeid karume alitaifisha ardhi zote za mkoloni baada ya mapinduzi inawezekana kuwa hiyo Ardhi wanaosema kuwa ni yao Kanisa la Anglikana walipatiwa na Wakoloni sio!!
Kibunango kawambie babu zako wasiweke nia na matumaini ya kupewa hiyo Ardhi kitu hicho wasahau kabisa!!!!
any way Zanzibar ni nchi ya Waislamu 99% ya raia wake ni Waislam.....Makanisa yaliyojengwa yanatosha kwa Wageni waliopo zanzibar...Wa Zanzibar hawataki tena kujengwa Makanisa katika nchi yao kwa sababu hayana faida yeyote kwa taifa lao na watu wao!!!!!ainkiller:
Iwapo ardhi yao imevamiwa, hapana shaka wataipata tu! Ni jambo la muda mfupi tu. Zaidi nilichosoma hapa ni ulafi na uroho wa baadhi ya watu na hasa linapokuja suala la ardhi.hayati Abeid karume alitaifisha ardhi zote za mkoloni baada ya mapinduzi inawezekana kuwa hiyo Ardhi wanaosema kuwa ni yao Kanisa la Anglikana walipatiwa na Wakoloni sio!!
Kibunango kawambie babu zako wasiweke nia na matumaini ya kupewa hiyo Ardhi kitu hicho wasahau kabisa!!!!
any way Zanzibar ni nchi ya Waislamu 99% ya raia wake ni Waislam.....Makanisa yaliyojengwa yanatosha kwa Wageni waliopo zanzibar...Wa Zanzibar hawataki tena kujengwa Makanisa katika nchi yao kwa sababu hayana faida yeyote kwa taifa lao na watu wao!!!!!ainkiller:
Sipendi kukujibu, ila nafanya hivi kwa kumbukumbu za baadae. Ardhi ni mali ya serikali kwa mjibu wa sheria ya ardhi ya mwaka 1985(SMZ). Hii ina maana kuwa serikali ndio yenye wajibu wa kupima na kugawa ardhi visiwani hapo.
Kiwanja cha kanisa huko Mbweni kilishapimwa na kumilikishwa kwa kanisa hilo, na iwapo atatokea mtu mwingine yoyote kuendeleza eneo hilo ni wazi kuwa atakuwa ni mvamizi. Hivyo basi ni jukumu la kanisa kuona kuwa eneo lao halivamiwi.
Sidhani kama sababu hiyo ni ya msingi, ya kuwafanya hao wavamizi kuvamia eneo hilo. Kuhusu kitimoto mbona kinapatikana kwa nafasi hapo kisiwani!Tatizo lao wanataka kufuga Kitimoto katika eneo hilo na wenyewe hawataki-Zanzibar hakuna ubalozi wa papa kama Tanganyika-Sorrrrrrrrrrrrrrrrrrrrry
wazanzibari acheni ubaguzi wa kidini na kukandamiza wakristo. jifunzeni kwa wabara mtapata uelewa.
..waumini wa madhehebu ya Anglican, wakiongozwa na viongozi wao, wamekwenda ktk kiwanja walichoporwa na kuharibu mali.
..waumini hao wanadai kwamba aliyepora kiwanja hicho ameng'oa misalaba ktk makaburi ya wazee wao!!
NB:
..huyo binti ya Karume kwanini asije huku Tanganyika ambako kuna ardhi ya kutupa?
..kung'oa misalaba, tena kwenye makaburi, ni kukosa utu na heshima.
..huyu hana tofauti na kijana anayeshtakiwa kwa kuchoma Koran huko Zanzibar.
Kusema kweli katika suala hili Karume Family wamecheza faulo mbaya kabisa, kwa sababu hata kutaifisha kuna taratibu zake, huwezi kuvamia sehem ya mtu mwingine kwa sababu una mapesa, vyombo vya usalama etc, hata mugabe hakufanya hayo anayoyafanya Karume Jr. nawasihi waathirika waende mahakamani ( ingawa sina hakika kama watatendewa haki )
Kwa kusupport tu mbona hii ni kawaida na Waislamu kwa vile ni asilimia kubwa ndiyo waathirika wakubwa. Kuna kesi ya yule Mzee Abdulla wa Kiembesamaki ambayo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Abdulla Rashid, aliyekuwa Mkuu wa Usalama Mohammed Hija na nadhani Mansour shemegi yake Karume wamevamia ardhi ya huyu Mzee. Licha ya kupata ushindi mahakamani na kuamriwa kuvunja nyumba hizo mpaka leo hakuna lo lote lililofanyika.
Maeneo mengi na hasa ya beach za Unguja na Pemba yamevamiwa na ukoo wa Karume na wenyeji wanalalamika bila ya mafanikio
Naona hapo umechanganya stori, Hija alivamia eneo hilo, hukumu ilitolewa wakati Abdalla Rashid akiwa Mkuu wa Mkoa hata hivyo pamoja na ubabe wake alishindwa kuvunja nyumba ya Hija.Kwa kusupport tu mbona hii ni kawaida na Waislamu kwa vile ni asilimia kubwa ndiyo waathirika wakubwa. Kuna kesi ya yule Mzee Abdulla wa Kiembesamaki ambayo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Abdulla Rashid, aliyekuwa Mkuu wa Usalama Mohammed Hija na nadhani Mansour shemegi yake Karume wamevamia ardhi ya huyu Mzee. Licha ya kupata ushindi mahakamani na kuamriwa kuvunja nyumba hizo mpaka leo hakuna lo lote lililofanyika.
Maeneo mengi na hasa ya beach za Unguja na Pemba yamevamiwa na ukoo wa Karume na wenyeji wanalalamika bila ya mafanikio