mpango wa kigambi umejaa hadaa na ujanja mwingi...mpango wa mji mpya wa kigambon hauna tofauti na ule mpango wa kilimo wanaoita SAGCOT....hii ni miradi miwili ya watu wa nje na kwa kuwa kiti cha raisi kina koti jeusi ndio maana mambo haya yameletwa huku tanzania.....sasa mh.mbunge umefika wapi katika harakati zako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.