TABIA MBOVU nasema polisi wamezidi:
KUNA siku moja hivi karibuni nilikuwa natoka Arusha naja Dar,karibia kufika SAME traffic akanipiga mkono...NIlikuwa najiamini coz sijaoverspeed na kila kitu kilikuwa sawa.
Traffic akaanza kuniuliza maswali:fire extinguisher-nikamwonyesha,
leseni-nikampa
akaanza kuangalia tires-zote mpya mpaka sprear
triangle-nikamwonyesha
unatoka wapi na unaenda wapi nkamwambia-non of ya bussines adn leave pie as pie.
AKAKASIRIKA NA KUNIAMBIA NIMWONYESHE FIRST AID KIT.........................nikamwambia hata gari lenu hilo halina.NIKAMRUSHIA BUKU MBILI NKATIMUA coz nilikuwa na haraka.
IKO SIKU NITAKOMAA NAO.
KUNA siku moja hivi karibuni nilikuwa natoka Arusha naja Dar,karibia kufika SAME traffic akanipiga mkono...NIlikuwa najiamini coz sijaoverspeed na kila kitu kilikuwa sawa.
Traffic akaanza kuniuliza maswali:fire extinguisher-nikamwonyesha,
leseni-nikampa
akaanza kuangalia tires-zote mpya mpaka sprear
triangle-nikamwonyesha
unatoka wapi na unaenda wapi nkamwambia-non of ya bussines adn leave pie as pie.
AKAKASIRIKA NA KUNIAMBIA NIMWONYESHE FIRST AID KIT.........................nikamwambia hata gari lenu hilo halina.NIKAMRUSHIA BUKU MBILI NKATIMUA coz nilikuwa na haraka.
IKO SIKU NITAKOMAA NAO.