Polisi wanavyoongoza genge la utekaji na kuua

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,343
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.

IMG_0427.jpeg
 
Polisi wetu wana mambo yatayokufanya uhisi hawakupewa mafunzo yoyote. Unapotaka kuwakagua watu kwanini usiwe na njia itakayowafanya waone usalama wao upo badala ya kuwasimamisha kama majambazi wanavyosimamisha raia?

Kuongea kwa lugha kali kila wakati bila kujali eneo walipo na wakati ni chanzo cha matatizo, watu wanaamua kukimbia ili kuokoa uhai wao, badala yake wanaishia kupigwa risasi na polisi wenye tabia za majambazi.

Na kwanini hizo risasi wasiwapige miguuni badala yake wanawapiga kiunoni? haya mafunzo wameyapata wapi?

Polisi wanajua wamekosea, sasa wanachofanya ni kumtorosha mgonjwa ili kuficha ushahidi, kwao ni afadhali mgonjwa afe kabisa kesi iishie hapo, kuliko aendelee kubaki hospitalini, wanahofia mambo yatazidi kuwa makubwa zaidi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Polisi waovu wasiachwe kujiamulia kufanya uovu wapendavyo. Kila mkoa liundwe jopo la majaji kiwe kikosi kazi cha haki na utengamano ili aliyeonewa na polisi/jeshi lolote apate pa kulalamikia na kudai hakiyake maana huwezi shtaki polisi Kwapolisi.
 
Tulifanya kosa sana tulipoifanya kazi ya polisi ni ya watu wasio na akili. Jitu lisilo na akili huwezi kujua litafanya nini wakati gani.

Kufanyike maboresho ya jeshi la polisi ya kiwango cha juu. Kwanza kupima uwezo wao wa akili na uwezo wa kufundishika. Mtu asiyefundishika hata ukimpa mafunzo ya kiasi gani, haisaidii. Tunao polisi ambao akili yao ni kidogo sana na hivyo hawawezi kufundishika. Hawa wanatakiwa kufutwa kazi. Kama kuna kazi za kukata magogo na kuyanyanyua, labda wanaweza kufaa huko lakini siyo kazi zinazohitaji reasoning.

Kuna baadhi tunakutana nao humo barabarani, unamhoji sababu ya kukusimamisha anachoeleza ni upuuzi mtupu. Unaanza kumwelewesha anabaki ametumbua tu macho. Unashindwa kuelewa hata kule kwenye chuo chao wanafundishwa nini, na kama huwa wanapimwa kujua kiwango chao cha uelewa.

Rais Samia amelalamika sana juu ya mambo ya hovyo wanayofanya polisi, wakuu wao wamekuwa wanawapa maagizo kila wakati lakini wanawapa maelekezo watu ambao hawana uelewa wala maadili. Hawa hawawezi kubadilika.

Jeshi hili la polisi lililopo, kama tunataka liwe jeshi halisi la polisi na siyo genge la wanyang'anyi na wahunj, yumkini robotatu wanatakiwa kufukuzwa.
 
Kuna siku nilisimamishwa na trafiki Kwa bahati sikuwa na kosa sasa akawa anazunguka zunguka akaishia kuniomba Hela ya chai mi sikumpa nikatia gia nikatembea yaani nahisi wengine ni mazombie
 
Wtz tuna ujinga na upuuzi, hawa polisi ni watu tunaoishi nao tunashindwaje kuwaadabisha wenyewe? Kama mwajiri wake hataki kuwaadabisha na wanapamdishwa vyeo kwa kua raia. Wtz tuamke iwe jino kwa jino polisi akiona raia mtaani na akafahamika adhabu yake aipate kupitia familia yake, akiua raia mmoja sisi tuue familia yake mzima aone uchungu wakupotelewa ndugu.
#Raia tupambane na polisi jino kwa jino.
 
Kimsingi, unachokiona kwa hawa Polisi wa chini kuna- akisi hali ilivyo kwa wakuu wao na hata jamii kwa Jumla.

Ukosefu wa chombk huru cha kuwasimamia askari polisi nchini nj moja ya mambo yanayopelekea askari hawankuwa kama walivyo leo. Ukisikia kauli tena hadharani ya IGP kuwa askari hawezi kufa kizembe hauna budi kutambua kuwa hawa jamaa wameruhusiwa kufanya watakavyo, kwani hakuna wa kuwawajibisha.

Ukishuka ngazi ya RPC huko ndio shida. Nafikiri hupeleka kitu ili waweze kulindwa na kinachofuata ni RPC kuitisha PRESS na kutangaza" marehemu alijipiga risasi akafa, kisha akajichoma moto"! Tena akiwa kituo cha Polisi.

Siku hizi sio salama kuwa karibu na Polisi wanaolipwa kwa fedha unayolipwa wewe wakidai wanafahya kazi kwenye mazingira magumu huku wakichoma mafuta kumtorosha mgonjwa hospitalini kutoka Geita mjinj hadi Buseresere umbali wa zaidi ya Km 50.

Malalamiko ya wananchi kutekwa na au kuuawa wakiwa chini ya Polisi nj mengi na yako nchi nzima, lakini hakuna wa kuchukua hatua, sio waziri mhusika kwanj inawezekana akawa na usemi wa hao wa bara.

Niwashauri ndugu zanhu mliofikiwa na janga hili, kwa haraka zaidi nendeni leo kwa DC, RPC nà Mkuu wa mkoa mkiwa na barua ya malalamiko yenu rasmi na hiyo copy iwekeni JF.

Sina uhakika kama utapata mwanasheria wa kuwasaidià lakini ikitokea akapatikana yote heri.
 
Kimsingi, unachokiona kwa hawa Polisi wa chini kuna- akisi hali ilivyo kwa wakuu wao na hata jamii kwa Jumla.

Ukosefu wa chombk huru cha kuwasimamia askari polisi nchini nj moja ya mambo yanayopelekea askari hawankuwa kama walivyo leo. Ukisikia kauli tena hadharani ya IGP kuwa askari hawezi kufa kizembe hauna budi kutambua kuwa hawa jamaa wameruhusiwa kufanya watakavyo, kwani hakuna wa kuwawajibisha.

Ukishuka ngazi ya RPC huko ndio shida. Nafikiri hupeleka kitu ili waweze kulindwa na kinachofuata ni RPC kuitisha PRESS na kutangaza" marehemu alijipiga risasi akafa, kisha akajichoma moto"! Tena akiwa kituo cha Polisi.

Siku hizi sio salama kuwa karibu na Polisi wanaolipwa kwa fedha unayolipwa wewe wakidai wanafahya kazi kwenye mazingira magumu huku wakichoma mafuta kumtorosha mgonjwa hospitalini kutoka Geita mjinj hadi Buseresere umbali wa zaidi ya Km 50.

Malalamiko ya wananchi kutekwa na au kuuawa wakiwa chini ya Polisi nj mengi na yako nchi nzima, lakini hakuna wa kuchukua hatua, sio waziri mhusika kwanj inawezekana akawa na usemi wa hao wa bara.

Niwashauri ndugu zanhu mliofikiwa na janga hili, kwa haraka zaidi nendeni leo kwa DC, RPC nà Mkuu wa mkoa mkiwa na barua ya malalamiko yenu rasmi na hiyo copy iwekeni JF.

Sina uhakika kama utapata mwanasheria wa kuwasaidià lakini ikitokea akapatikana yote heri.
Askari wa Tanzania wanakua kama wa DRC , ukikutana nae usiku unaumia wewe raia
 
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.!View attachment 2867106
So sad. Japokuwa ni maelezo ya upande mmoja lakini kwa mwenendo wa jeshi letu la Polisi yanaweza kuwa sahihi kwa asilimia kubwa. Watayakanusha kama kawaida yao kwa kumbambikia huyo muathirika tuhuma za jinai ikiwemo ujambazi au kosa la kutaka kumpora askari bunduki. Rais Samia alikuwa sahihi alipotaka maboresho makubwa ndani ya jeshi hilo ingawa kasi ya utekelezaji hailidhishi.
 
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.

View attachment 2867106
Eti Samia ndivyo anavyoupiga mwingi!
 
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.

View attachment 2867106
Mimi naona IGP ambane RPC wa hapo Geita ili waweze kujua nini kilitokea.
 
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.

View attachment 2867106
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.

IMG_0427.jpeg


Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
  • Masikitiko
Reactions:Sky Eclat, Gulwa, Tresor Mandala and 2 others

[IMG alt="Behaviourist"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/362/362019.jpg?1607243093[/IMG]

Behaviourist

JF-Expert Member​

Apr 8, 2016 39,890 95,191
wAAYu9E.jpg


Thanks Quote Reply
Report
  • Kicheko
Reactions:Sky Eclat and Davet
[IMG alt="Kindeena"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/456/456301.jpg?1700580219[/IMG]

Kindeena

JF-Expert Member​

Sep 27, 2017 7,571 12,104
Kwa hiyo ni bora njiani ukutane na wanyama wakali au wahuni lakini siyo hawa wa upande wa pili.

Pumbavu kabisa!

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Tresor Mandala and Mwanamlya
[IMG alt="denoo JG"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/731/731790.jpg?1698413140[/IMG]

denoo JG

JF-Expert Member​

Oct 27, 2023 771 2,463
Polisi wetu wana mambo yatayokufanya uhisi hawakupewa mafunzo yoyote. Unapotaka kuwakagua watu kwanini usiwe na njia itakayowafanya waone usalama wao upo badala ya kuwasimamisha kama majambazi wanavyosimamisha raia?

Kuongea kwa lugha kali kila wakati bila kujali eneo walipo na wakati ni chanzo cha matatizo, watu wanaamua kukimbia ili kuokoa uhai wao, badala yake wanaishia kupigwa risasi na polisi wenye tabia za majambazi.

Na kwanini hizo risasi wasiwapige miguuni badala yake wanawapiga kiunoni? haya mafunzo wameyapata wapi?

Polisi wanajua wamekosea, sasa wanachofanya ni kumtorosha mgonjwa ili kuficha ushahidi, kwao ni afadhali mgonjwa afe kabisa kesi iishie hapo, kuliko aendelee kubaki hospitalini, wanahofia mambo yatazidi kuwa makubwa zaidi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
  • Nzuri
Reactions:Mwanamlya, Geofre Maseta and mmteule
[IMG alt="The only"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/44/44169.jpg?1499531146[/IMG]

The only

JF-Expert Member​

May 19, 2011 9,868 12,199
Nimeiforwad kwa wahusika

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:mngony, Tresor Mandala, Bams and 1 other person

[IMG alt="MarkHilary"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/272/272834.jpg?1504675099[/IMG]

MarkHilary

JF-Expert Member​

Feb 8, 2015 1,734 1,971
Hivi nani wa kuwakemea polisi wa nchi hii kwa vitendo vyao?

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Tresor Mandala
[IMG alt="kirengased"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/348/348104.jpg?1679760617[/IMG]

kirengased

JF-Expert Member​

Jan 10, 2016 5,450 5,987
Polisi waovu wasiachwe kujiamulia kufanya uovu wapendavyo. Kila mkoa liundwe jopo la majaji kiwe kikosi kazi cha haki na utengamano ili aliyeonewa na polisi/jeshi lolote apate pa kulalamikia na kudai hakiyake maana huwezi shtaki polisi Kwapolisi.

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Bams
[IMG alt="Bams"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/28/28702.jpg?1421497843[/IMG]

Bams

JF-Expert Member​

Oct 19, 2010 15,496 38,374
Tulifanya kosa sana tulipoifanya kazi ya polisi ni ya watu wasio na akili. Jitu lisilo na akili huwezi kujua litafanya nini wakati gani.

Kufanyike maboresho ya jeshi la polisi ya kiwango cha juu. Kwanza kupima uwezo wao wa akili na uwezo wa kufundishika. Mtu asiyefundishika hata ukimpa mafunzo ya kiasi gani, haisaidii. Tunao polisi ambao akili yao ni kidogo sana na hivyo hawawezi kufundishika. Hawa wanatakiwa kufutwa kazi. Kama kuna kazi za kukata magogo na kuyanyanyua, labda wanaweza kufaa huko lakini siyo kazi zinazohitaji reasoning.

Kuna baadhi tunakutana nao humo barabarani, unamhoji sababu ya kukusimamisha anachoeleza ni upuuzi mtupu. Unaanza kumwelewesha anabaki ametumbua tu macho. Unashindwa kuelewa hata kule kwenye chuo chao wanafundishwa nini, na kama huwa wanapimwa kujua kiwango chao cha uelewa.

Rais Samia amelalamika sana juu ya mambo ya hovyo wanayofanya polisi, wakuu wao wamekuwa wanawapa maagizo kila wakati lakini wanawapa maelekezo watu ambao hawana uelewa wala maadili. Hawa hawawezi kubadilika.

Jeshi hili la polisi lililopo, kama tunataka liwe jeshi halisi la polisi na siyo genge la wanyang'anyi na wahunj, yumkini robotatu wanatakiwa kufukuzwa.

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:mngony, Tresor Mandala, mmteule and 2 others
K

konyola

JF-Expert Member​

Dec 13, 2016 3,165 4,963
Kuna siku nilisimamishwa na trafiki Kwa bahati sikuwa na kosa sasa akawa anazunguka zunguka akaishia kuniomba Hela ya chai mi sikumpa nikatia gia nikatembea yaani nahisi wengine ni mazombie

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Exy"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/661/661092.jpg?1644248440[/IMG]

Exy

JF-Expert Member​

Feb 7, 2022 2,323 4,252
Wtz tuna ujinga na upuuzi, hawa polisi ni watu tunaoishi nao tunashindwaje kuwaadabisha wenyewe? Kama mwajiri wake hataki kuwaadabisha na wanapamdishwa vyeo kwa kua raia. Wtz tuamke iwe jino kwa jino polisi akiona raia mtaani na akafahamika adhabu yake aipate kupitia familia yake, akiua raia mmoja sisi tuue familia yake mzima aone uchungu wakupotelewa ndugu.
#Raia tupambane na polisi jino kwa jino.

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Tresor Mandala

J

johnmashilatu

JF-Expert Member​

Sep 16, 2010 701 669
Kimsingi, unachokiona kwa hawa Polisi wa chini kuna- akisi hali ilivyo kwa wakuu wao na hata jamii kwa Jumla.

Ukosefu wa chombk huru cha kuwasimamia askari polisi nchini nj moja ya mambo yanayopelekea askari hawankuwa kama walivyo leo. Ukisikia kauli tena hadharani ya IGP kuwa askari hawezi kufa kizembe hauna budi kutambua kuwa hawa jamaa wameruhusiwa kufanya watakavyo, kwani hakuna wa kuwawajibisha.

Ukishuka ngazi ya RPC huko ndio shida. Nafikiri hupeleka kitu ili waweze kulindwa na kinachofuata ni RPC kuitisha PRESS na kutangaza" marehemu alijipiga risasi akafa, kisha akajichoma moto"! Tena akiwa kituo cha Polisi.

Siku hizi sio salama kuwa karibu na Polisi wanaolipwa kwa fedha unayolipwa wewe wakidai wanafahya kazi kwenye mazingira magumu huku wakichoma mafuta kumtorosha mgonjwa hospitalini kutoka Geita mjinj hadi Buseresere umbali wa zaidi ya Km 50.

Malalamiko ya wananchi kutekwa na au kuuawa wakiwa chini ya Polisi nj mengi na yako nchi nzima, lakini hakuna wa kuchukua hatua, sio waziri mhusika kwanj inawezekana akawa na usemi wa hao wa bara.

Niwashauri ndugu zanhu mliofikiwa na janga hili, kwa haraka zaidi nendeni leo kwa DC, RPC nà Mkuu wa mkoa mkiwa na barua ya malalamiko yenu rasmi na hiyo copy iwekeni JF.

Sina uhakika kama utapata mwanasheria wa kuwasaidià lakini ikitokea akapatikana yote heri.

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Ikizu Bukama and Tresor Mandala
[IMG alt="Tresor Mandala"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/25/25419.jpg?1703497323[/IMG]

Tresor Mandala

JF-Expert Member​

Aug 20, 2010 33,393 69,131
Kimsingi, unachokiona kwa hawa Polisi wa chini kuna- akisi hali ilivyo kwa wakuu wao na hata jamii kwa Jumla.

Ukosefu wa chombk huru cha kuwasimamia askari polisi nchini nj moja ya mambo yanayopelekea askari hawankuwa kama walivyo leo. Ukisikia kauli tena hadharani ya IGP kuwa askari hawezi kufa kizembe hauna budi kutambua kuwa hawa jamaa wameruhusiwa kufanya watakavyo, kwani hakuna wa kuwawajibisha.

Ukishuka ngazi ya RPC huko ndio shida. Nafikiri hupeleka kitu ili waweze kulindwa na kinachofuata ni RPC kuitisha PRESS na kutangaza" marehemu alijipiga risasi akafa, kisha akajichoma moto"! Tena akiwa kituo cha Polisi.

Siku hizi sio salama kuwa karibu na Polisi wanaolipwa kwa fedha unayolipwa wewe wakidai wanafahya kazi kwenye mazingira magumu huku wakichoma mafuta kumtorosha mgonjwa hospitalini kutoka Geita mjinj hadi Buseresere umbali wa zaidi ya Km 50.

Malalamiko ya wananchi kutekwa na au kuuawa wakiwa chini ya Polisi nj mengi na yako nchi nzima, lakini hakuna wa kuchukua hatua, sio waziri mhusika kwanj inawezekana akawa na usemi wa hao wa bara.

Niwashauri ndugu zanhu mliofikiwa na janga hili, kwa haraka zaidi nendeni leo kwa DC, RPC nà Mkuu wa mkoa mkiwa na barua ya malalamiko yenu rasmi na hiyo copy iwekeni JF.

Sina uhakika kama utapata mwanasheria wa kuwasaidià lakini ikitokea akapatikana yote heri.
Click to expand...
Askari wa Tanzania wanakua kama wa DRC , ukikutana nae usiku unaumia wewe raia

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Lloyd Munroe
M

mbussi

JF-Expert Member​

Aug 24, 2023 567 735
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.!View attachment 2867106
Click to expand...
So sad. Japokuwa ni maelezo ya upande mmoja lakini kwa mwenendo wa jeshi letu la Polisi yanaweza kuwa sahihi kwa asilimia kubwa. Watayakanusha kama kawaida yao kwa kumbambikia huyo muathirika tuhuma za jinai ikiwemo ujambazi au kosa la kutaka kumpora askari bunduki. Rais Samia alikuwa sahihi alipotaka maboresho makubwa ndani ya jeshi hilo ingawa kasi ya utekelezaji hailidhishi.

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Ikizu Bukama
G

Gulwa

JF-Expert Member​

Jun 16, 2008 9,511 14,318
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.

View attachment 2867106
Click to expand...
Eti Samia ndivyo anavyoupiga mwingi!

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="To yeye"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/686/686677.jpg?1691080829[/IMG]

To yeye

JF-Expert Member​

Oct 4, 2022 22,281 48,473
Sad

Thanks Quote Reply
Report

[IMG alt="Kindeena"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/456/456301.jpg?1700580219[/IMG]

Kindeena

JF-Expert Member​

Sep 27, 2017 7,571 12,104
Kweli dear

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Mmawia"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/165/165175.jpg?1384613325[/IMG]

Mmawia

JF-Expert Member​

Aug 20, 2013 120,311 92,740
Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.

View attachment 2867106
Click to expand...
Mimi naona IGP ambane RPC wa hapo Geita ili waweze kujua nini kilitokea.

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="nzalendo"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/16/16198.jpg?1472238772[/IMG]

nzalendo

JF-Expert Member​

May 26, 2009 9,750 8,050
Nendeni mkaloge

Thanks Quote Reply
Report

Remove formattingBoldItalicFont sizeText colorMore options…
ListAlignment
  • Align left
  • Align center
  • Align right
  • Justify text
Paragraph format
Insert linkInsert imageSmiliesMediaQuoteInsert tableMore options…
UndoRedoToggle BB codeDrafts
Preview

Font familyStrike-throughUnderlineInline codeInline spoiler
Insert horizontal lineInsert videoSpoilerCodeSubscriptSuperscript

Write your reply...
Post reply

Attach files Insert quotes…

Similar Discussions​

Share:
FacebookTwitterRedditWhatsAppEmailLink

Naitwa Clement Nkwabi mkazi wa Geita. Napenda kukushirikisha suala la mdogo wangu Joel Raphael Nkwabi. Tarehe 15/12/2023 majira ya saa 2 usiku alienda kuangalia mpira lakini hakurudi. Tar.16 asubuhi mke wake alipigiwa simu na namba mpya. Kupokea ilikua sauti ya mumewe akimjulisha kuwa amelazwa hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kupigwa risasi na polisi walipotoka kuangalia mpira.

Alimuomba mkewe ampelekee nguo za kubadilisha kwani alizokuwa nazo zimechafuka damu sana. Mke alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko na kuwajulisha ndugu wengine wa mume. Wakaenda hosptalini ambapo walikumkuta yupo chumba cha Emergency. Wakamkabidhi nguo na kumuuliza imekuwaje.

Akamjibu kuwa walipotoka kutizama mpira, walivamiwa na watu ambao hawakujitambulisha. Wakawataka walale chini. Wakahisi ni majambazi hivyo wakakimbia ili kujinusuru. Lakini watu hao wakafyatua risasi.

Wenzie walikimbia lakini yeye alijeruhiwa kiunoni. Risasi ikabaki mwilini. Akakimbizwa hospitalini na tar.16 akafanyiwa operation kuitoa. Mke aliambiwa mumewe kapigwa risasi na askari wa mali asili. Alipouliza sababu akaambiwa ataifahamu mahakamani.

Kesho yake mke alimpelekea chai mumewe lakini hakumkuta hospitalini. Alipouliza akaambiwa aende kituo cha Polisi Geita. Akaenda lakini hakumkuta. Akaambiwa labda amepelekwa kituo cha Kasamwa, nako hakumkuta. Akaambiwa ajaribu kituo cha Katoro, lakini huko nako hakumkuta.

Tarehe 19/12/2023 mkewe aakapigiwa simu na namba mpya. Ilikua sauti ya mumewe ikimueleza kwamba yupo kituo cha polisi Buseresere, akilalamika yupo kwenye maumivu makali kwani alitoroshwa hospitali baada tu ya operation. Alidai hakuna dawa yoyote aliyopewa zaidi ya kutolewa ile risasi, na huko mahabusu hapati matibabu yoyote. Kesho yake mkewe allienda Buseresere lakini polisi wakakanusha kumshikilia. Akarudi nyumbani bila matumaini.

Na tangu wakati huo hajasikia tena sauti ya mumewe. Ndugu zake hatujui kama yupo hai au amekufa. Hatujui kwanini alipigwa risasi? Kwanini alitoroshwa hospitali? Kwanini hakupewa haki ya matibabu? Hata kama ni mtuhumiwa si angetibiwa kwanza halafu ashtakiwe? Tunaomba utupazie sauti ili ndugu yetu aweze kupata haki yake. Au kama amekufa watupe maiti tuzike, tujue moja.

View attachment 2867106
Kuna haja ya kuanza vita na polisi haraka sana! Ikitokea tu kituo kutajwa halafu akipotea kichomwe moto haraka sana. Mtasingizia utawala wa sheria! lakini hawa ndio wanaozungumzia sheria! Jino kwa jino ni dawa!
 
Back
Top Bottom