Polisi waliojeruhiwa wakati wa mauaji ya Mwangosi

Kwetu Iringa

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
355
88
Kuna polisi mmoja alijeruhiwa mguu wakati Mwangosi anauawa. Ni yule aliyemkumbatia Mwangosi kabla hajauawa na bereti nyeusi. Mbona polisi wenzake hawamzungumzii? Na inaelekea aliumia sana, huenda mguu ulivunjika. Anaitwa nani na kalazwa wapi? Inawezekana kapelekwa MOI anonymously.

Na huenda sababu ya kuwafikisha mahakamani (kama itakuwa kweli) wale wanaodaiwa kuuwa ni hasira ya polisi kumuumiza mwenzao kwa kufyatua bomb kizembe. Kusingekuwa na polisi aliyeumia sana sidhani kama wangefikishwa mahakamani.

Tujadili
 
Na huenda sababu ya kuwafikisha mahakamani (kama itakuwa kweli) wale wanaodaiwa kuuwa ni hasira ya polisi kumuumiza mwenzao kwa kufyatua bomb kizembe. Kusingekuwa na polisi aliyeumia sana sidhani kama wangefikishwa mahakamani.Tujadili

????????
 
Kuna polisi mmoja alijeruhiwa mguu wakati Mwangosi anauawa. Ni yule aliyemkumbatia Mwangosi kabla hajauawa na bereti nyeusi. Mbona polisi wenzake hawamzungumzii? Na inaelekea aliumia sana, huenda mguu ulivunjika. Anaitwa nani na kalazwa wapi? Inawezekana kapelekwa MOI anonymously.

Na huenda sababu ya kuwafikisha mahakamani (kama itakuwa kweli) wale wanaodaiwa kuuwa ni hasira ya polisi kumuumiza mwenzao kwa kufyatua bomb kizembe. Kusingekuwa na polisi aliyeumia sana sidhani kama wangefikishwa mahakamani.

Tujadili

Huu ndio ujinga wa waandishi wa habari.Wanashindwa hata kuhoji na kuandika jambo hili!Wamekaa kimya kabisa.Na wataendeleda kuuwawa kila siku.
 
[B said:
Salary Slip[/B];4588485]Huu ndio ujinga wa waandishi wa habari.Wanashindwa hata kuhoji na kuandika jambo hili!Wamekaa kimya kabisa.Na wataendeleda kuuwawa kila siku.

ID yako inaitwaje vilee! Nafikiri umenipata!
 
Kuna mmoja alikatika vidole labda ndiyo huyo huyo! Francis Godwin asingekimbizwa kila kitu tungeipata hapa!
 
Kuna polisi mmoja alijeruhiwa mguu wakati Mwangosi anauawa. Ni yule aliyemkumbatia Mwangosi kabla hajauawa na bereti nyeusi. Mbona polisi wenzake hawamzungumzii? Na inaelekea aliumia sana, huenda mguu ulivunjika. Anaitwa nani na kalazwa wapi? Inawezekana kapelekwa MOI anonymously.

Na huenda sababu ya kuwafikisha mahakamani (kama itakuwa kweli) wale wanaodaiwa kuuwa ni hasira ya polisi kumuumiza mwenzao kwa kufyatua bomb kizembe. Kusingekuwa na polisi aliyeumia sana sidhani kama wangefikishwa mahakamani.

Tujadili

Mh ! SABABU NYINGINE YA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI NI GERESHA, ili tukiendelea kuhohoji waseme " ... KESI IKO MAHAKAMANI ... " mpaka tutakapoanza kusahau ! Hii ndiyo Tanzania ndugu yangu !
 
Kuna polisi mmoja alijeruhiwa mguu wakati Mwangosi anauawa. Ni yule aliyemkumbatia Mwangosi kabla hajauawa na bereti nyeusi. Mbona polisi wenzake hawamzungumzii? Na inaelekea aliumia sana, huenda mguu ulivunjika. Anaitwa nani na kalazwa wapi? Inawezekana kapelekwa MOI anonymously.

Na huenda sababu ya kuwafikisha mahakamani (kama itakuwa kweli) wale wanaodaiwa kuuwa ni hasira ya polisi kumuumiza mwenzao kwa kufyatua bomb kizembe. Kusingekuwa na polisi aliyeumia sana sidhani kama wangefikishwa mahakamani.

Tujadili

mmmmh,,,,usishangae nae akashtakiwa kwa mauaji
 
Kuna polisi mmoja alijeruhiwa mguu wakati Mwangosi anauawa. Ni yule aliyemkumbatia Mwangosi kabla hajauawa na bereti nyeusi. Mbona polisi wenzake hawamzungumzii? Na inaelekea aliumia sana, huenda mguu ulivunjika. Anaitwa nani na kalazwa wapi? Inawezekana kapelekwa MOI anonymously.

Na huenda sababu ya kuwafikisha mahakamani (kama itakuwa kweli) wale wanaodaiwa kuuwa ni hasira ya polisi kumuumiza mwenzao kwa kufyatua bomb kizembe. Kusingekuwa na polisi aliyeumia sana sidhani kama wangefikishwa mahakamani.

Tujadili

Askari ambaye marehemu alimshika kiunoni huku mkononi kuna camera, yule askari alikuwa ameshika fimbo akiinyosha juu kabla ya kuvunjwa miguu na bomu lilimuua Mwangoni ni OCD wa Mafinga kadiri ya habari nilizo nazo. Alikuwa anafanya jitihada za kusimamisha au kumwokoa Mwangosi, lakini ujuavyo kikosi kili kilichomekewa wahuni wasio polisi ambao hawana ujuzi wa mafunzo hawakumsikia afande na hivyo kumsababishia kujeruhiwa.

Labda hawa ni mbinu za CCM kuchomekea wao waliowapa mafunzo maalumu ili kukamilisha waliyokusudia. Sasa siri zinazidi kuanikwa, mambo nje nje tu.

Mpishi Mkuu wa mauaji ya Mwangozi ni RPC na ndiye aliyeamrisha vurugu zile, kwani kabla RPC hajafika kikosi kilikuwa kinaongozwa na OCD kilikuwa kinalinda usalama tu.
 
Hawa ni wahuni waliopatiwa mafunzo ya janjaweed huko ulemo iramba chini mh nape, nchemba na huko mvomero kwa mh makala hao bila kuona sare ya kijani katu hakuna utii awe policcm awe wa cheo gani awe rpc or ocd hapana jali hata hivyo siku zao zinahesabika MUNGU AWE UPANDE WA WAPEMDA HAKI WOTE
 
Hili halita tukatisha tamaa, bado tuta pambana kufa nakupona, mabadiliko hayaiji kwa lelemama, watakufa watu ila hatutaisha.

Changes is the great challenge to anyone, Normally peoples do afraid changes, weather in normal life or in the Government.
 
Naamini JF imeenea nchi nzima na hata polisi kuna wenye busara zao ambao wapo Jf we afande nani sijui nani vile tusaidie?
 
Atakuwa kwenye hospitali za jeshi kwanza. MOI watampeleka tu mambo yakianza kupoa. Zaidi atapelekwa nje kuua so.
 
Mh ! SABABU NYINGINE YA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI NI GERESHA, ili tukiendelea kuhohoji waseme " ... KESI IKO MAHAKAMANI ... " mpaka tutakapoanza kusahau ! Hii ndiyo Tanzania ndugu yangu !

Polisi hawamaanishi wanachofanya kupelek mahakamani ni kutuliza hasira tu za waTZ huku wakisubiri news ya ku-replace. Polisi wangekuwa na dhamira ya kweli basi Kamuhanda asingekuwa anatamba mitaani tena wakati mwingine akiwa na IGP.
 
Kuna polisi mmoja alijeruhiwa mguu wakati Mwangosi anauawa. Ni yule aliyemkumbatia Mwangosi kabla hajauawa na bereti nyeusi. Mbona polisi wenzake hawamzungumzii? Na inaelekea aliumia sana, huenda mguu ulivunjika. Anaitwa nani na kalazwa wapi? Inawezekana kapelekwa MOI anonymously.

Na huenda sababu ya kuwafikisha mahakamani (kama itakuwa kweli) wale wanaodaiwa kuuwa ni hasira ya polisi kumuumiza mwenzao kwa kufyatua bomb kizembe. Kusingekuwa na polisi aliyeumia sana sidhani kama wangefikishwa mahakamani.

Tujadili
Huyo Polisi aliyekumbatiwa na marehemu sii ndiye mkuu wa polisi sijui Upelelezi? kwani kaumizwa au hukumtazama vizuri?
 
Huyo Polisi naliyekumbatiwa na marehemu sii ndiye mkuu wa polisi sijui Upelelezi? kwani kaumizwa au hukumtazama vizuri?

Yule police aliyejeruhiwa miguu anaitwa Mwampamba, alipohojiwa na gazeti la Mwananchi alionekana kuwa ni Magamba baada ya kusema vurugu za CHADEMA zilifuatiwa na kitu kilicholipuka kutoka chini na kumjeruhi huku akikana kabisa kukumbatiwa na RIP Mwangosi wakati akipewa kipigo na policcm.
 
Yule police aliyejeruhiwa miguu anaitwa Mwampamba, alipohojiwa na gazeti la Mwananchi alionekana kuwa ni Magamba baada ya kusema vurugu za CHADEMA zilifuatiwa na kitu kilicholipuka kutoka chini na kumjeruhi huku akikana kabisa kukumbatiwa na RIP Mwangosi wakati akipewa kipigo na policcm.
Ndyali Umesema kweli yule ni jamaa yake na Mwangosi (wanafahamiana kwa ukaribi au kikazi) na wanadai ni OCD wala sio RPC na wale vijana mbona wamesharudi Dom ila gari la washawasha bado liko Iringa naona baada ya kusikia M4C imeahirishwa maeneo hayo. Huyo anayesema watafikishwa Mahakamani au wailifikishwa ni nani amwage data hapa.
 
Last edited by a moderator:
Yule police aliyejeruhiwa miguu anaitwa Mwampamba, alipohojiwa na gazeti la Mwananchi alionekana kuwa ni Magamba baada ya kusema vurugu za CHADEMA zilifuatiwa na kitu kilicholipuka kutoka chini na kumjeruhi huku akikana kabisa kukumbatiwa na RIP Mwangosi wakati akipewa kipigo na policcm.

Tumsamehe bure mzee wa watu. Alitaka awafurahishe wakubwa na hakujua kama picha za tukio zima zilichukuliwa vizuri kabisa.
 
Back
Top Bottom