Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,459 29,153 Sep 8, 2012 #21 Halafu anadai eti ye alishtukia tu bomu limemlipukia kisha akapoteza fahamu. Wakati picha zinamuonyesha akikumbatiwa na marehemu.
Halafu anadai eti ye alishtukia tu bomu limemlipukia kisha akapoteza fahamu. Wakati picha zinamuonyesha akikumbatiwa na marehemu.
Nzenzu JF-Expert Member Aug 10, 2011 858 164 Sep 8, 2012 #22 Nasikia jamaa paja la kushoto halina nyama kabisa pia VIUNGO VYA UZAZI HANA!
kookolikoo JF-Expert Member Mar 9, 2012 2,751 595 Sep 8, 2012 #23 Nzenzu said: Nasikia jamaa paja la kushoto halina nyama kabisa pia VIUNGO VYA UZAZI HANA! Click to expand... toba! inatisha sana.
Nzenzu said: Nasikia jamaa paja la kushoto halina nyama kabisa pia VIUNGO VYA UZAZI HANA! Click to expand... toba! inatisha sana.