kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
Ndugu wanajamvi... nimepita maeneo ya mwananyamala karibu na hospitali.. ile njia unayopita kama unataka kutokea kinondoni biafra NIMEKUTA MAGARI YA JESHI ZAIDI YA 10... Nashindwa kuelewa kwa nini yamejazana maeneo hayo.. tena yapo maeneo ya makazi.
Angalia video hii:
Angalia video hii:
Last edited by a moderator: