ndugu wanajamvi... nimepita maeneo ya mwananyamala karibu na hospitali.. ile njia unayopita kama unataka kutokea kinondoni biafra NIMEKUTA MAGARI YA JESHI ZAIDI YA 10... Nashindwa kuelewa kwa nini yamejazana maeneo hayo.. tena yapo maeneo ya makazi,
Wadau kwa mujibu wa Channel ten... Risasi na Mabomu ya machozi vimerindima muda huu M'nyamala... Kuna mdau yupo huko atujuze zaidi? SOURCE CHANNEL TEN ya Rostam Aziz.