TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
Jamani inasikitisha sana.Hawa policcm wamezidi ubabe na roho chafu.nimesoma hii story mpaka machozi yamenilenga
unalizwa ni hii hujasoma ile ya kigoma? ipo wenye nipashe ya jana yaani jamaa na mdogo wake polccm walimuingizia vijiti mpaka akafa