Polisi Mwanza wazuia kufanyika kwa mkutano wa M4C

.....[/QUOTE]

wewe si mzima! Na nahisi utakuwa ni Mwigulu au Nchimbi... Huo ni Ujinga na siku itakapowadia Wananchi tukakasirika I swear, Tanzania 'll be like SYRIA....
 
hoja ya sensa cio hoja. kwan moro kulikuwa hamna sensa? huyo RPC anatumia masaburi quote. Na magamba msituletee vita nchi hii cio yenu wenyewe . visingizio vya kutokuwepo police wa kutosha ni kwa wapinzani tu. wakumsindikiza mwenyekiti wa WAMA wapo wa wakutosha.
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]

arguement zingine yaani unashindwa kuelewa baadhi ya watanzania tumerogwa na nani? ni upuuzi kushabikia kilichotokea Moro, na nguvu yake nahisi mliiona watu bado walikuwa nyomi pamoja na polisi wenu kupiga mabomu na kufanya mauaji, yaani mnazidi kuiongezea CDM umaarufu hata pasipo stahili, wengi hatukujua kuna mkutano lakini sasa tumeujua tunasubiri outcome, all in all yote yana mwisho na mwisho ni sooner than latter.
 
wakubwa, mambo mengine tuwe tunatumia akili zetu.

kutokana na askari wengi kuwa katika attention mode, jibu la askari hawatoshi inatakiwa litafakariwe. kuanza kulaani bila kujua kwa nini umejibiwa hivyo, sio busara pia, na kwa nijuavyo mimi ni kuwa askari wengi wako katika utayari kuhakikisha watu wote wanahesabiwa na wengine wamepelekwa kozi CCP tena ni wengi
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]

hapo umevuruga
 
Huu ni pure udikteta na naamini sasa wanataka kuifanya nchi hii ni police state.Tuna uhuru wa kufanya mikutano na watu mahali popote nchini na sensa haizuii mikutano.CCM na vibaraka zao wasiwaburuze fanyeni mkutano hiyo ni haki yenu. Na Haki haiombwi kutoka polisi au kutoka kwa CCM na serikali yao. Endeleeni kudai haki zenu hii ni nchi yetu sote na kama wanafikili wao ndio walileta vyama vingi wajaribu basi kuvifuta kama wataweza.Hongera sana CDM.Tuko pamoja.
 
"changes are inevitable" whether they agree or not! we are ready to be killed bt time is coming they will regret, it does not matter wether their brains are working or not! let's unite forever we will win!
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]
Pumpkin head........!! uwe unasoma kwanza kabla ya kurukia rukia vitu kama unavyorukiaga mikia.
http://www.google.co.tz/url?sa=t&rc...n4HADw&usg=AFQjCNHTVK6A1Inu3Xut_T_uTRvKbO3Z4w


http://www.google.co.tz/url?sa=t&rc...n4HADw&usg=AFQjCNF3WzF6pw4FfmB8EexiVEJUlq4FjQ
 
Hela walizopewa wabunge milioni moja kwa ajili ya kuhamasisha sensa inafanya kazi gani kama mikutano inakatazwa?wanahamasisha vp sensa bila mikutano?
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]Wanaogomea Sensa si Nyinyi?
 
Kuzuia mikutano kwa kigezo cha sensa ni upuuzi kwa kuto tafakali kwa kina kwani ndo kwanza wanazidi kuvuruga upatikanaji wa takwimu sahihi kwani wengi kutokana na udhalimu huo wanatoa takwimu za uongo na za kuchekesha.
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]

Unajiita GENIUS BRAIN
 
Polisi wa kibongo wamekuwa kama mbwa wa kufugwa wanapokea maelekezo yote toka kwa mfugaji.
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]

ww lazima unafikiri kwa kutumia ngungu. Hivi unajua tofauti ya maandamano na mkutano? Haya ndo matatizo ya kununuliwa mnakosa hata uwezo wa kufikiri. USELESS
 
Naona kila muda unavyosonga napaza sauti nikiimba wimbo wa Bob marley..."I SHORT A SHERRIF" ukombozi unakaribia!!
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

Bahati yako uko mbali ningekunasa kibao
 
Back
Top Bottom