Polisi Mwanza wazuia kufanyika kwa mkutano wa M4C



Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]
Hongera kwa kuchagua ujinga,serikali hiyoyo,sehemu nyingine wameshindwa watu kuhesabiwa kisa madodoso,na hivyo kusubiri,vifaa vingine vinavyowatambulisha wao watu wa sensa havipo,sensa na mikutano ya hadhara ya chama kilchopo kikatiba kila kimoja kina umuhimu wake,hivyo basi kwanini wahujumu mkutano wa chadema kwa kisingizio cha sensa ambayo serikali hiyo hiyo inahujumu kwa kutotimiza vitendea kazi.usituletee utumbo kama huo.
 
Kwa hakika serikali hii ni dhaifu. Nimeamini Mnyika alisema ukweli mtupu uliotafitiwa. Hivi kama siyo udhaifu CCM na serikali yake wanashindwa nini kuvumilia mikutano hii ya wananchi?? Wanahofia nini?? Wanadhani binadamu ni wanyama kwamba hawatofunguka?? Kazi bure kabisa!
 
Pass za Form IV za kujiunga na kazi ya upolisi zipandishwe mpaka pt 24, ikihusisha credit (C) ya English na Hesabu. Polisi wengi wa vyeo vya chini wana uwezo mdogo sana wa kufikiri; wao ni kwata na kupiga.

Pokea Like mkuu Kashaijabutege!
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]

Kichwa chako kimejaa maji
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]

TUKIKUBAHINI DOGO TUTAKUTANGULIZA THE HAGUE UNA ROHO MBAYA KAMA KOVA
 
Pia nasikia Huko Morogoro kuna Uhuni umefanyika na Magazeti yote yenye Taarifa za yaliyotokea Jana Hayapo Mtaani!! Sijajua nani Kayanunua kwa Jumla!! Hadi Aibu!!
Ni yule yule mtoa rushwa aliyesababisha mabomu kupigwa.
 
Tutaendelea kujidanganya hivi hadi lini?????? Kufungia magazeti, kuzuia mikutano ya amani, kupiga na kuua raia wasio na hatia ni sawa na kuzuia maji ya mto kwa viganja vya mkono. Wakulu, dawa ya moto, ni moto, kama wao wameamua kwenda kwa wananchi, kuendelea kuwazuia ni kuwapa umaarufu zaidi, dawa yao, na sisi twende kwa wananchi, tukatoe sera, tunaogopa nini?????? Tushindane kwa nguvu za hoja, na siyo kwa hoja za nguvu
"KIDUMU ZAIDI CHAMA CHETU"
 
Mkutano huu umeairishwa leo kwa madai mpaka sensa iishe hivyo utafanyika Sep 2.Wananchi wakaandamana hadi ofisi ya mkuu wa wilaya wakiongozwa na WENJE ila hawakumkuta ndo wakapewa maelezo hayo ya hadi Sep2.SOURCE NILIKUWAPO MWENYEWE.
 
Mkutano huu umeairishwa leo kwa madai mpaka sensa iishe hivyo utafanyika Sep 2.Wananchi wakaandamana hadi ofisi ya mkuu wa wilaya wakiongozwa na WENJE ila hawakumkuta ndo wakapewa maelezo hayo ya hadi Sep2.SOURCE NILIKUWAPO MWENYEWE.

Kusema kuna sensa ni uzushi, je sensa wanahesabiwa muda wote?je sensa inafanyika siku moja?na je shughuli za kuendeleza maisha zimesimama.ndoswali la wenje la papo kwa papo la waziri mkuu kuwa mdc kupambana na upinzani ni sera ya ccm, ndo sasa wanatekeleza ilani ya ccm.
 
Kusema kuna sensa ni uzushi, je sensa wanahesabiwa muda wote?je sensa inafanyika siku moja?na je shughuli za kuendeleza maisha zimesimama.ndoswali la wenje la papo kwa papo la waziri mkuu kuwa mdc kupambana na upinzani ni sera ya ccm, ndo sasa wanatekeleza ilani ya ccm.

Mbona watu tunaendelea tu na shughuli nyingine za kila siku? Tutasikia sababu nyingi mwaka huu toka geshini
 
Ccm ni wabunifu kweli! Wamekuja na sababu ya barabara ni ndogo jana huko morogoro, kisha wamefuatia na sensa huko Iringa na sasa Mwz! Singo hizi zinaonekana kufanya vizuri kwasasa ila najiuliza tu kwamba watakuja na singo gani tena baada ya sensa.
 
Ccm ni wabunifu kweli! Wamekuja na sababu ya barabara ni ndogo jana huko morogoro, kisha wamefuatia na sensa huko Iringa na sasa Mwz! Singo hizi zinaonekana kufanya vizuri kwasasa ila najiuliza tu kwamba watakuja na singo gani tena baada ya sensa.
Naona ya Al-shabaab imechuja...
 
Kuna kitu nimejifunza hapa. Kwamba serikali ikisema kaeni nyumbani mhesabiwa na Wenje akisema njooni kwenye mkutano, watu watachagua kwenda kwa Wenje. Serikali imechokwa
 
Serikali kwanini isiseme na wafanyakazi wasiende makazini kama ni sensa? Je majumbani huwa tunaondoka wote? Sisim mwisho wake utafika tu
 


Hakuna maandamano yasiyo fuata utaratibu, zoezi la sensa ni la muhimu zaidi na la kitaifa kuzidi maandamano ya CDM. Polisi msiogope mtu kwenye kutekeleza sheria hata awe nani, waki beep nyie pigeni km jana morogoro.

Kwani sasa yaonyesha watu wanataka madaraka na umaarufu kwa nguvu. Msiogope mtu, tekelezeni sheria na mdhibiti hali kwa njia yoyote. Hii ni nchi ya utawala wa sheria , si nchi yakuongozwa kihuni huni.

[/QUOTE]

Sensa imetuzuia tusiende kwenye kazi zetu? je tumewekewa mipaka tusisafiri, kwani hatuendi chooni kwa sababu ya sensa? yaelekea sababu nyingine ni za kitoto!
Tuanzisheni mapambano?
 
Katika kile kinachoonesha kuwa ni mwendelezo wa jeshi la polisi kuitikia maelekezo bila kutafakari madhara yake leo asubuhi jeshi la polisi wilaya ya Nyamagana wameamua kuzuia mkutano wa hadhara uliokuwa ufanyike kwenye viwanja vya Sahara kwa sababu za kutokuwa na polisi wa kulinda mkutano.

Hali kadhalika ni kupisha zoezi la sensa kuendelea ilihali tayari maandalizi ya mkutano yalipangwa mapema na polisi wakaomba ufanyike leo.

Hoja hii imeleta mtafaruku mkubwa kati ya viongozi hao wa CHADEMA waliokuwa wanaongozwa na mh WENJE(MBUNGE),na mh JOHN HECHE SUGUTA (MWKT WA VIJANA TAIFA) katibu wa chadema mkoa MSHUMBUSI.

"KUNA UTATA HAPA AMBAO UNAAMBATANA NA MAELEKEZO MBUNGE HAWEZI KUZUILIWA KUZUNGUMZA NA WATU WAKATI ANACHOTAKIWA KUFANYA NI KURUDISHA MAJIBU YA NINI MWELEKEO WA JIMBO KIMAENDELEO NAWAHAKIKISHIA WATU WANGU KUSANYIKENI IPASAVYO TUZUNGUMZE" - WENJE

"MIMI NADHANI POLISI MLICHOTUMWA HAMTAFANIKIWA MIMI NILISHAJUA KUWA KWA SASA MNATEKELEZA YA CCM, SWALA LA MKUTANO NI LA KISHERIA NA TUMEFUATA TARATIBU ZOTE MKUTANO UKO PALE PALE"
HECHE

NTAWAJUZA ZAIDI NINI KITAJIRI


Nimeona TBC MAGAMBA wakimuonesha Amos Makala akifanya mkutano jimboni kwake na katoa pikipiki tano kwaajiri ya ccm swali je yeye hazuii zoezi la sensa au ni mikutano tu ya Cdm ndio inazuia sensa magamba wanachemka vibaya.
 
Katika kile kinachoonesha kuwa ni mwendelezo wa jeshi la polisi kuitikia maelekezo bila kutafakari madhara yake leo asubuhi jeshi la polisi wilaya ya Nyamagana wameamua kuzuia mkutano wa hadhara uliokuwa ufanyike kwenye viwanja vya Sahara kwa sababu za kutokuwa na polisi wa kulinda mkutano.

Hali kadhalika ni kupisha zoezi la sensa kuendelea ilihali tayari maandalizi ya mkutano yalipangwa mapema na polisi wakaomba ufanyike leo.

Hoja hii imeleta mtafaruku mkubwa kati ya viongozi hao wa CHADEMA waliokuwa wanaongozwa na mh WENJE(MBUNGE),na mh JOHN HECHE SUGUTA (MWKT WA VIJANA TAIFA) katibu wa chadema mkoa MSHUMBUSI.

"KUNA UTATA HAPA AMBAO UNAAMBATANA NA MAELEKEZO MBUNGE HAWEZI KUZUILIWA KUZUNGUMZA NA WATU WAKATI ANACHOTAKIWA KUFANYA NI KURUDISHA MAJIBU YA NINI MWELEKEO WA JIMBO KIMAENDELEO NAWAHAKIKISHIA WATU WANGU KUSANYIKENI IPASAVYO TUZUNGUMZE" - WENJE

"MIMI NADHANI POLISI MLICHOTUMWA HAMTAFANIKIWA MIMI NILISHAJUA KUWA KWA SASA MNATEKELEZA YA CCM, SWALA LA MKUTANO NI LA KISHERIA NA TUMEFUATA TARATIBU ZOTE MKUTANO UKO PALE PALE"
HECHE

NTAWAJUZA ZAIDI NINI KITAJIRI


Na baada ya zoezi hili kukamilika watakuja na singo mpya ipi?
 
Back
Top Bottom