Mushi ndesamburo
New Member
- Apr 23, 2012
- 1
- 0
Yahusu polisi kuhatarisha maisha yangu baada ya kushindwa kumdhibiti muhalifu ambae ni jambazi anayejulikana kwa kumlinda na kumpa nafasi ya kunishambulia mara kwa mara na kunisababishia hasara kubwa na kunisababishia kukimbia makazi yangu.
Polisi hawa wanashirikiana na jambazi huyu mana nimekuwa nikiwataarifu mara kwa mara juu ya usalama wa maisha yangu ni askari wa jeshi la polisi naushaaidi upo nimewapa taarifa hizi viongozi wangazi za juu katika wizara hii juu ya swala hili lakuwindwa na mtandao huu ambao una husika na uchapishaji noti bandia hapa nchini na toa taarifa hii kwa jamii yote kuwa mtandao huu ni hatari sana na wanambinu nyingi zakuzoofisha mtu yeyote ambae atawabaini kwa matukio yao kwakutumia jeshi la polisi.
Nina ushaidi wa kutosha na mtandao huu umetuhumiwa mara kwa mara kwa uhalifu na kesi nyingi zimefikishwa mahakama ya wilaya mbeya mjini kwa kuujumu uchumi na sasa mtandao wajambazi huyu wamenipa taarifa kuwa wiki hii wataniua najua taarifa hii ni ya kweli maana hata mwaka jana walinitumia ujumbe wa sms kwenye simu yangu kua wataniua baada ya siku chache. Baadae waliniteka kwa silaha nakunipola lakini wizara hii nimeipa taarifa hizi wala hawatoi tamko lolote nawakati wao ndio viongozi wangazi ya juu na usiku wakuamkia pasaka walinivamia askari kwa madai wametumiwa na mkuu wa kituo kunipeleka polisi usiku saa saba; kweli walikua askari nanilipoomba msaada kwa viongozi wa mtaa polisi hao walikimbia. Tulipowafuata kituoni asubuhi kukawa utata mkubwa na taarifa hii nilimpa afisa wa ngazi ya juu ndani ya jeshi la polisi lakini hakuna hatua yoyote iliochukuliwa nikampa taarifa kiongozi mkuu katika wizara hii lakini yuko kimya mpaka sasa najua wanaogopa kukichukulia hatua kikundi hiki lakini hata usalama wa maisha.
Sababu za kuniwinda ni hizi hapa
Mimi ninafanya biashara za nguo na kubadilisha fedha katika mji wa Tunduma Mbeya.
Siku moja nikiwa safari nilikutana na bwana mmoja ambae alinisaidia kunibeba kwenye gari lake baada ya kukosa usafiri kutoka Iringa mpaka mbeya nikiwa kwenye gari lake aina ya prado yeye ni dereva aliniuliza jina langu na wapi naishi na kazi ninayofanya nilimweleza kua nauza nguo aina ya majins ila sikumueleza biashara yangu ya pili yakubadilisha fedha na yeye akajitambulisha kwa jina la Joseph Mawenzi anaishi Mbeya na akasema anafanya biashara ya nguo kama mimi ila yeye kuwa nguo huwa anazifuata Kenya kwenye kiwanda cha nguo hizo ikabidi ni nimuulize aina mbalimbali na bei zake akataja bei za chini sana ikabidi mwambie kua siku akiwa na mzigo aniite niuone.
Siku chache baadae alipiga simu kwa namba tulizopeana akaniambia tayari anamzingo na analeta Tunduma niuone alileta mzigo huo dukani kwangu kwa bei zile alizonitajia nikamkabizi hela akaondoka wiki moja baadae alinipigia simu kuwa ameleta mzigo mwingine nikamwambia kuwa mimi sipo niko arusha ila upeleke mzigo huo tunduma dukani kwangu yupo kijana wangu nitampigia simu aupokee mzigo huo na hakupe hela alipofika dukani kwangu akatumia mbinu zake kumlaghai kijana wangu kwauaminifu wa kibiashara akamwambia gari ameliacha mbali kidogo ampe milioni tatu ili akamkabidhi huo mzigo kijana alipomkabili pesa kulingana na uaminifu wa mzigo wa kwaza wakaondoka mpaka alipoacha gari huko kwenye gari lake alimuacha kijana mmoja ambae walipofika tu kwenye gari lake yule kijana akawaeleza kuwa ule mzigo ameuuza kwa mtu mwingine.
Yule bwana Jose akanipigia simu akaniambia kuwa samahana ndugu ule mzigo nimekuta mdogo wangu amehuuza samahani naomba niondoke na mdogo wako akachukuwe mzigo mwingine Mbeya kwakua tayari alikuwa ashachukuwa pesa zangu milioni 3 zangu mimi nikampigia simu mdogo wangu akaongozana nae mpaka Mbeya. Huko nako akamwambia kijana wangu kuwa hata mzigo wake mwingine aliouacha kule umeuzwa wote aliponitaarifu kwa simu taarifa hiyo nilimwambia amkabidhi pesa zangu mdogo wangu arudi Tunduma akaniambia kuwa pesa ameziingiza kwenye akaunti ya jamaa zake wa kiwanda akaniomba nikirudi safarini tuonane niliporuri kutoka safarini nikakutana nae akanipeleka.
NO: 0655419915
mushindesamburo@gmail.com
Polisi hawa wanashirikiana na jambazi huyu mana nimekuwa nikiwataarifu mara kwa mara juu ya usalama wa maisha yangu ni askari wa jeshi la polisi naushaaidi upo nimewapa taarifa hizi viongozi wangazi za juu katika wizara hii juu ya swala hili lakuwindwa na mtandao huu ambao una husika na uchapishaji noti bandia hapa nchini na toa taarifa hii kwa jamii yote kuwa mtandao huu ni hatari sana na wanambinu nyingi zakuzoofisha mtu yeyote ambae atawabaini kwa matukio yao kwakutumia jeshi la polisi.
Nina ushaidi wa kutosha na mtandao huu umetuhumiwa mara kwa mara kwa uhalifu na kesi nyingi zimefikishwa mahakama ya wilaya mbeya mjini kwa kuujumu uchumi na sasa mtandao wajambazi huyu wamenipa taarifa kuwa wiki hii wataniua najua taarifa hii ni ya kweli maana hata mwaka jana walinitumia ujumbe wa sms kwenye simu yangu kua wataniua baada ya siku chache. Baadae waliniteka kwa silaha nakunipola lakini wizara hii nimeipa taarifa hizi wala hawatoi tamko lolote nawakati wao ndio viongozi wangazi ya juu na usiku wakuamkia pasaka walinivamia askari kwa madai wametumiwa na mkuu wa kituo kunipeleka polisi usiku saa saba; kweli walikua askari nanilipoomba msaada kwa viongozi wa mtaa polisi hao walikimbia. Tulipowafuata kituoni asubuhi kukawa utata mkubwa na taarifa hii nilimpa afisa wa ngazi ya juu ndani ya jeshi la polisi lakini hakuna hatua yoyote iliochukuliwa nikampa taarifa kiongozi mkuu katika wizara hii lakini yuko kimya mpaka sasa najua wanaogopa kukichukulia hatua kikundi hiki lakini hata usalama wa maisha.
Sababu za kuniwinda ni hizi hapa
Mimi ninafanya biashara za nguo na kubadilisha fedha katika mji wa Tunduma Mbeya.
Siku moja nikiwa safari nilikutana na bwana mmoja ambae alinisaidia kunibeba kwenye gari lake baada ya kukosa usafiri kutoka Iringa mpaka mbeya nikiwa kwenye gari lake aina ya prado yeye ni dereva aliniuliza jina langu na wapi naishi na kazi ninayofanya nilimweleza kua nauza nguo aina ya majins ila sikumueleza biashara yangu ya pili yakubadilisha fedha na yeye akajitambulisha kwa jina la Joseph Mawenzi anaishi Mbeya na akasema anafanya biashara ya nguo kama mimi ila yeye kuwa nguo huwa anazifuata Kenya kwenye kiwanda cha nguo hizo ikabidi ni nimuulize aina mbalimbali na bei zake akataja bei za chini sana ikabidi mwambie kua siku akiwa na mzigo aniite niuone.
Siku chache baadae alipiga simu kwa namba tulizopeana akaniambia tayari anamzingo na analeta Tunduma niuone alileta mzigo huo dukani kwangu kwa bei zile alizonitajia nikamkabizi hela akaondoka wiki moja baadae alinipigia simu kuwa ameleta mzigo mwingine nikamwambia kuwa mimi sipo niko arusha ila upeleke mzigo huo tunduma dukani kwangu yupo kijana wangu nitampigia simu aupokee mzigo huo na hakupe hela alipofika dukani kwangu akatumia mbinu zake kumlaghai kijana wangu kwauaminifu wa kibiashara akamwambia gari ameliacha mbali kidogo ampe milioni tatu ili akamkabidhi huo mzigo kijana alipomkabili pesa kulingana na uaminifu wa mzigo wa kwaza wakaondoka mpaka alipoacha gari huko kwenye gari lake alimuacha kijana mmoja ambae walipofika tu kwenye gari lake yule kijana akawaeleza kuwa ule mzigo ameuuza kwa mtu mwingine.
Yule bwana Jose akanipigia simu akaniambia kuwa samahana ndugu ule mzigo nimekuta mdogo wangu amehuuza samahani naomba niondoke na mdogo wako akachukuwe mzigo mwingine Mbeya kwakua tayari alikuwa ashachukuwa pesa zangu milioni 3 zangu mimi nikampigia simu mdogo wangu akaongozana nae mpaka Mbeya. Huko nako akamwambia kijana wangu kuwa hata mzigo wake mwingine aliouacha kule umeuzwa wote aliponitaarifu kwa simu taarifa hiyo nilimwambia amkabidhi pesa zangu mdogo wangu arudi Tunduma akaniambia kuwa pesa ameziingiza kwenye akaunti ya jamaa zake wa kiwanda akaniomba nikirudi safarini tuonane niliporuri kutoka safarini nikakutana nae akanipeleka.
NO: 0655419915
mushindesamburo@gmail.com