Safi sana.. finally tumeonyesha true colors zetu.. nimesoma comments za wakenya wanatucheka sana.... na wana haki ya kutucheka maana tuliwadhihaki tukajiona si bora zaidi eti tuna amani na mshikamano.. my foot! Sasa wenzetu wameshatiana adabu wanajenga nchi si bado tunacheza kiduku na viongozi wetu... :A S-devil1:
Nadhani mzalendo Basilio Matei atakuwa ametokwa machozi kama nilivyotokwa machozi ya uchungu kuona ule udhalimu ukitokea nyumbani ninapopapenda kwa moyo wangu wote.
Huyu mheshimiwa--pamoja na shinikizo kubwa--alitumia busara nyingi ili kuepusha janga kama hili--baada ya kukataa katakata kuchakachua matokea ya ubunge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.