Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,737
- 11,095
Wakuu kuna jamaa yangu alipatwa na tatizo wakawa wamempeleka polisi, kule polisi akapata dhamana kwa sababu kosa lake lilikuwa lina dhamana, akaenda kuzungumza na wale waliokuwa wanamshitaki na wakawa wameelewana kuwa mambo yasiendelee mbele zaidi yaani kufika mahakamani.
Sasa changamoto iliyopo ni polisi kukomaa hasa yule mpelelezi aliyepewa jarada (file), kesi kaipeleka mahakamani na bado anamkomalia jamaa afike mahakamani, wanaomshitaki jamaa hawataki kesi wao wanapigiwa simu na polisi za vitisho ili wafike mahakamani, sielewi shida ni nini?🙃
Polisi wanaitafuta kwa nguvu zote aisee.
Sasa changamoto iliyopo ni polisi kukomaa hasa yule mpelelezi aliyepewa jarada (file), kesi kaipeleka mahakamani na bado anamkomalia jamaa afike mahakamani, wanaomshitaki jamaa hawataki kesi wao wanapigiwa simu na polisi za vitisho ili wafike mahakamani, sielewi shida ni nini?🙃
Polisi wanaitafuta kwa nguvu zote aisee.