Bongo huo ustaarabu hakuna,hii kwangu itakuwa big news kama wanatumia lie detector test, let it alone hata kama ipo!Polisi ya bongo si polisi.Sasa huyo anayetumwa aje kusema uongo wa wazi kwanini asijiuzulu?yale yale ya Baath Party ya Saddam waliposema "I was just taking orders" yeye na aliyemtuma wote makosa yao ni sawa.Lie detector test? We cant even take fingerprints. Waminywe kule. That's the best local lie detector test.
Hapo umesema mkuu, pakari ya kubinyia "kokwa" moja tu inatosha mtu kukumbuka yote tangu yumo tumboni mwa mamake.Lie detector test? We cant even take fingerprints. Waminywe kule. That's the best local lie detector test.
Kama hamuwezi kuamini vyombo vya usalama kwa kupika majungu, kuchunguzeni ninyi au ingieni polisi. kama kweli hayo mambo mumeambiwa na polisi hebu wasemeni. inawezekana hao wanaowaletea taarifa pembeni ndo wahusika wakuu na hivyo wanajihami. kama kweli ninyi ni wazalendo watajeni ili kurahisisha uchunguzi.
Wewe mbona huweki zako? Wewe ndiye mzushi...Acheni kuleta ndoto zenu hapa jukwaani bana tumechoka na uzushi sasa
Wewe mbona huweki zako? Wewe ndiye mzushi...
Chef!Lie detector test? We cant even take fingerprints. Waminywe kule. That's the best local lie detector test.
nakumbuka msemaji wa jeshi la polisi alikuwa kamanda MSIKA, Jamaa alikuwa safi sana, lkn toka alipohamishiwa dar huyo kova basi kila kitu ni yeye tu mpaka jamaa nadhani amekata tamaa