Nchi hii ni ya ajabu, yaani kijana kajipinda kasoma ili ajikombee yeye na jamii yake lakini hasaminiwi... huwezi amini vijana wanomaliza vyuo vikuu na kujiunga na jeshi la polisi wanaanza bila cheo hata mbavu moja... na pia majukumu yao ya kazi ni tofauti kabisa na fani wlizosomea... uwe muhasibu, dokta.. nk..
Utalinda kwa ocd, utazungushwa doria, na kazi zote za hovyo zinazoidharilisha elimu yako,,,, msomi aliye maliza chuo akajiunga na polisi hatamani kukutana na ndugu au rafiki akiwa na uniform coz ni aibu kazi anayofanya.... hailingani na elimu yake wala ujuzi wake... huku ni kutesa vijana waoipenda nchi yao na jeshi la polisi.... naipenda polisi, polisi naomba iliangalie hili.
Utalinda kwa ocd, utazungushwa doria, na kazi zote za hovyo zinazoidharilisha elimu yako,,,, msomi aliye maliza chuo akajiunga na polisi hatamani kukutana na ndugu au rafiki akiwa na uniform coz ni aibu kazi anayofanya.... hailingani na elimu yake wala ujuzi wake... huku ni kutesa vijana waoipenda nchi yao na jeshi la polisi.... naipenda polisi, polisi naomba iliangalie hili.