Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Polisi mkoani Kigoma amemuua raia na mkuu wa polisi mkoani humo bwana George Mayunga anasema ni bahati mbaya na wananchi wawe na imani na jeshi la polisi....jamani jamani hii bahati mbaya kila siku....watanzania tunaimudu kweli?
Source...ITV habari
Source...ITV habari