The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
kuna mwanachadema kakutana na kipigo cha makomandoo wa ccm, 'janjaweed' na kaumia mbavu, kapelekwa kituo cha polisi kwa pf3 wakakataa kumpokea, mpaka kesho yake, sasa nashindwa kuelewa nini mbaya na maaskali wetu, mbona wana element za usiasa kinyume na kanuni zao?, mbona wamekuwa wanalinda amani kwa kuangalia vyama pinzani vinaharibu wapi? kwani CCM wao hawana vurugu, mbona nashindwa kuelewa, najiuliza je police ni ccm au ccm ni police? na kama jibu ni ndio democrasia iko wapi,,na kama ni hapana, basi Justice should not only be done, but manifestly seen to be done.
.......................................
UKWELI NI KAMA UKIMWI UKIONGEA TU UNATENGWA.
.......................................
UKWELI NI KAMA UKIMWI UKIONGEA TU UNATENGWA.