Caucus ya ccm ni magufuli kama hutaki kabinuke fisi weye! Leo ndo umeona bungeni kuna caucus mbona BASHE, MSUKUMA, MALIMA waliswekwa lupango Caucus haikuwepo? Mkulu alipokutana na wabunge wa ccm na kuwapiga biti kamati ya Kafumu kwamba kwanini walipanga kwenda kumuona mpinzan Lema kule Kisongo gerezani Caucus ilikuwa wapi? Unaongea utafikir huna kichwa au we ni msukule?