grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Poleni wadau na mashabiki wa Arsenal FC, nina imani hata nyinyi mlielewa nini kingetokea lakini baadhi yenu mliendelea kujipa moyo. Umiliki wa 70% kwa Bayern na 30% kwa Arsenal kwa kweli ilitusikitisha wengi hasa sisi wadau wa EPL.
Tujiulize ni kwanini Staa wetu OZIL anafichwa kwenye mechi kubwa kubwa na kuwika kwenye mechi ndogo ndogo??
Inabidi tujifunze kwa wazoefu wa ligi ile, kwanini mpaka sasa wao pekee ndiyo ambao hawajapoteza mchezo.
Tujiulize ni kwanini Staa wetu OZIL anafichwa kwenye mechi kubwa kubwa na kuwika kwenye mechi ndogo ndogo??
Inabidi tujifunze kwa wazoefu wa ligi ile, kwanini mpaka sasa wao pekee ndiyo ambao hawajapoteza mchezo.