Pole sana Mh.ZITTO kumbe na wewe hutumii chandarau!

Siyo kweli, mbu wanaoambukiza Malaria huanza kuuma usiku wa manane. Kitendo cha Zitto kuugua Malaria kinaashiria kuwa mbunge huyu ana dharau sana kiasi cha kuacha hata kutumia chandarua chake ili kujikinga na Malaria.

Kwahiyo Zitto au wewe huwa unajifunika net ata pale unapokuwa na shughuli maalum ya usiku mfano kusoma, tafrija, sherehe n.k? Je, Zitto ameugua malaria mara ngapi mwaka huu?
 
Kweli kuish kwing nikuona mengi.Tuamini lipi kuhusu la mhe.Ztto?Ni maralia au ni ndumba?Lakni kuna tafit zinazoonyesha sehem fulan hapa TZ hakuna gonjwa kama ilo ndani ya miaka kibao bado kila kaya wamepewa net na zile hata nzi hasogei.Nawakilisha
 
Ni kweli watu wameandika saana kuhusu matumizi ya vyandarua. Wengine wanaelezea vizuri sana ila wengine nimalimbukeni kabisa. Zoezi la kugawa vyandarua linaenda sambamba na kinga nyingine. Kuna upuliziaji wa nyumba kwa nyumba (mf. Mikoa ya Kagera, mara na Mwanza), zoezi hili litafanyika pia mikoa mingine yenye maambukizo makubwa kama Lindi yenye maabukizo 35.5%, Mtwara 33.6% na Ruvuma 23.9% ikifuatiwa na mikoa mingine. pia kuna zoezi la kuua viluilui linaloendelea sasa (ndio maana wa Cuba wako hapa, wanafanya kazi hiyo kushirikiana na Urban Malaria Control Programme. Nenda pale ofisi ya jiji la Dar es Salaam utawakuta wa Cuba!
kwa vile vyandarua ndivyo vinavyoonekana ndo watu wanachangia tele maana viluilui vinaangamizwa mabondeni watu wakiwa kazini, na hawaoni! Nenda Wizara ya Afya upate maelezo uache kuropoka!
Ni upotoshaji mkubwa kusema kwamba vyandarua vinatolewa na Bush! kwanza Bush mwenyewe ni mstaafu! pili sio anaetoa wala alieidhinisha vyandarua vilivyokuwa vinatolewa, la hasha!
 
Mhhh,

Una maana kuwa mtu hata kienda kupata dinner akachelewa hadi alfajiri atumie chandarua!
 
Get well soon Comrade Mungu akupe afya uweze kuhudhulia kikao cha bunge ili ile hoja yako MKULO uilete hadhalani maana wanalichezea TAIFA hawa,
 
Ni kweli watu wameandika saana kuhusu matumizi ya vyandarua. Wengine wanaelezea vizuri sana ila wengine nimalimbukeni kabisa. Zoezi la kugawa vyandarua linaenda sambamba na kinga nyingine. Kuna upuliziaji wa nyumba kwa nyumba (mf. Mikoa ya Kagera, mara na Mwanza), zoezi hili litafanyika pia mikoa mingine yenye maambukizo makubwa kama Lindi yenye maabukizo 35.5%, Mtwara 33.6% na Ruvuma 23.9% ikifuatiwa na mikoa mingine. pia kuna zoezi la kuua viluilui linaloendelea sasa (ndio maana wa Cuba wako hapa, wanafanya kazi hiyo kushirikiana na Urban Malaria Control Programme. Nenda pale ofisi ya jiji la Dar es Salaam utawakuta wa Cuba!
kwa vile vyandarua ndivyo vinavyoonekana ndo watu wanachangia tele maana viluilui vinaangamizwa mabondeni watu wakiwa kazini, na hawaoni! Nenda Wizara ya Afya upate maelezo uache kuropoka!
Ni upotoshaji mkubwa kusema kwamba vyandarua vinatolewa na Bush! kwanza Bush mwenyewe ni mstaafu! pili sio anaetoa wala alieidhinisha vyandarua vilivyokuwa vinatolewa, la hasha!

Asante sana waziri wa afya
 
Ni kweli watu wameandika saana kuhusu matumizi ya vyandarua. Wengine wanaelezea vizuri sana ila wengine nimalimbukeni kabisa. Zoezi la kugawa vyandarua linaenda sambamba na kinga nyingine. Kuna upuliziaji wa nyumba kwa nyumba (mf. Mikoa ya Kagera, mara na Mwanza), zoezi hili litafanyika pia mikoa mingine yenye maambukizo makubwa kama Lindi yenye maabukizo 35.5%, Mtwara 33.6% na Ruvuma 23.9% ikifuatiwa na mikoa mingine. pia kuna zoezi la kuua viluilui linaloendelea sasa (ndio maana wa Cuba wako hapa, wanafanya kazi hiyo kushirikiana na Urban Malaria Control Programme. Nenda pale ofisi ya jiji la Dar es Salaam utawakuta wa Cuba!
kwa vile vyandarua ndivyo vinavyoonekana ndo watu wanachangia tele maana viluilui vinaangamizwa mabondeni watu wakiwa kazini, na hawaoni! Nenda Wizara ya Afya upate maelezo uache kuropoka!
Ni upotoshaji mkubwa kusema kwamba vyandarua vinatolewa na Bush! kwanza Bush mwenyewe ni mstaafu! pili sio anaetoa wala alieidhinisha vyandarua vilivyokuwa vinatolewa, la hasha!

Ahsante Kagosaki.....tatizo watu wanadhani vita dhidi ya Malaria tutashinda kwa intervention moja tu...vyandarua. Hapana...ni interventions kadhaa kama alivyoainisha Kagosaki hapo juu. Effect ya vyandarua kushinda Malaria inaonekana iwapo 80% ya watu wa jamii watatumia vyandarua kma inavyoshauriwa...jiulize wangapi wanaosoma hii thread sasa wamealal kwenye vyandarua usiku wa kuamkia leo? Hiyo ni failure ya serikali/MoHSW/NMCP? Watu hawataki kubadili tabia hatarishi halafu wakipata Malaria wanalaumu serikali kwa kuwa na interventions zisizofanikiwa...lakini nani anafanya zisifanikiwe?!
 
katika hoja ambazo sikubaliani nazo ni kutokomeza malaria kwa kutumia chandarua..hata siku moja! dawa ni kutokomeza vimelea vinavyosababisha kuenea kwa mbu mitaani....nina uhakika kabisa kama tutahakikisha hakuna mbu kabisa Tanzania hii malaria itatoka wapi? watu kila siku netiii netiii, kwanini tusiwaondoe hao mbu? kama ni dawa zipo..uzembe tu na kutokuwa makini

nashukuru kwa kunielewa vizuri maana humu kuna watu wanadakia maada bila ku-reason! Imefikia mahali WAAFRIKA wote kwa ujumla tuamke tuupinge huu ukoloni mamboleo! Kwanini kila kitu tuelekezwe na WAMAREKANI?? Yaani hata mtoto mdogo ukimueleza kuwa Neti ni kinga madhubuti dhidi ya malaria anashangaa!! Lakini cha ajabu hadi RAIS wa nchi anazipigia debe na sisi tunashangalia tuuu!! Huu ni utumwa wa fikra! Vyandarua ni sehemu ya biashara zao pamoja na hivi vi mseto! Tukumbuke kuwa wanatamani sana(na wameshaweza)kuifanya Afrika sehemu ya bishara zao! Kiukweli wataalam wanadhalilisha taaluma zao katika hili! Nilimtole mfano Mh. ZITTO kwa sababu naye ni miongoni mwa viongozi wanaotwambia tutumie net KUJIKINGA na Malaria! KINGA DHIDI YA MALARIA NI KUTOKOMEZA MBU! Takwimu zinasema karibu kila Mtanzania anatembea na malaria, Je, wote hatutumii chandarua??
 
Najiuliza Mbona Ghafla Sana??

Hapa namkumbuka Amina Chifupa n the like
 
Nachukua nafasi hii kumpa pole MPIGANAJI MACHACHARI WA MASLAHI YA TAIFA HILI....Mh. ZITTO, POLE SANA! Pamoja na hayo,uchunguzi wa kitabibu umeonyesha anasumbuliwa na malaria (vidudu 120)! Ni mara nyingi viongozi wetu wamekuwa wakisisitiza suala la utumiaji wa vyandarua tena vyenye dawa na kwa nia thabiti ya kukomesha malaria nchini,mkuu wa nchi aliwahi kupokea TAKRIMA ya vyandarua alipotembelewa na swahiba wake, George BUSH! Hoja yangu, watu wengi wanasumbuliwa na malaria hadi sasa japo vyandarua vimejaa kila kona na kuna uhamasishaji wa kutosha,tuamini havina uwezo wa kutukinga na malaria au watu tumepuuza kuvitumia!!!?

mi najua vijidudu 150 na sio 120
 
Uncle Jei Jei, mimi nasema una asilimia 50 tu za ukweli kwamba ukiangamiza mbu unaangamiza malaria. Nilikwenda Finland na Sweden huko mbu wako tele! Lakini hawasababishi malaria. Kimsingi ni kwamba iwapo tukafanikiwa kutumia vyandarua kila siku, na upuliziaji ukafanikiwa (japo hauendi haraka kwasababu tunategemea pesa za wahisani), na pia tukaangamiza viluilui (kuua mbu katika mazalia yake), na wananchi kila mmoja akachukua hatua za kusafisha mifereji au kila sehemu maji yanapotuama, basi tunaweza kufanikiwa kabisa kutokomeza malaria. Kisayansi, matumizi ya vyandarua yanapunguza ugonjwa kwa asilimia 35! Hizi njia nyingine ni muhimu pia zikatekelezwa. Lakini hizi efforts za Wizara sio integrated! Wizara pekee haiwezi kufanikiwa, lazima wizara ya Ujenzi, kilimo, elimu na hii ya wanawake zisaidiane. Hapa ndio kuna udhaifu mkubwa sana. Kila mmoja anang'ang'ania kiroba cha pesa za wahisani.
Iwapo pia kila moja akalala kwenye chandarua, na wale wagonjwa wakatumia dawa kikamilifu, basi hata mbu akiwepo hatoweza kuleta malaria kwa vile binadamu ndiye anaemwambukiza vimelea, ambavyo vina mature kwenye tumbo la mbu jike ambaye anavirudisha tena kwa binadamu. hivyo kuangamiza mbu sio issue kabisa. Nataka watu waelewe kwamba wizara inatekeleza pia njia nyingine ikisaidiana na sekta binafsi. kwani kuna mtu asiejua Rungu? au Doom au expel? Hizi ni sekta binafsi lakini zinaisaidia wizara.

Tatizo lililopo ni kwamba kuna mipango mizuri mingi sana, lakini haiko integrated. Mfano, mtu anajenga bara bara, akamaliza. Anakuja mwingine anaichimba barabara hiyo analaza mabomba ya maji! Anakuja mwingine analaza mitambo ya mawasiliano kwa wakati tofauti! Sasa maanake ni nini? Halafu anajitokeza kijana anasema ni mtalaam wa mipango miji? Ni upuuzi mtupu!
 
Mbu wa Malaria sio mpaka wakati wa kulala ndio wanafanya kazi..hapana bali wawezakuumwa na mbu huyo hata ukiwa kwenye gari, bar n.k. Hivyo Malaria imekuwa sugu kinachotakiwa sasa ni kusafisha mazingira yetu kwani yakiwa safi na mbu watatoweka lkn bila ya hivyo tunajidanganya kwa kusema tunaweza kutokomeza malaria kwa kulala kwenye neti.
 
Ni vigumu sana kupata dawa sahihi huko Tanzania. Kwani kuna uchakachuaji mwingi wa madawa hayo kwa kuingizwa madawa feki na kuuzwa kwa bei rahisi kwa wananchi.

Ni vizuri Tz ijipanga na madawa feki kwa ajili ya ustawi wa raia wake.

Pole sana Zitto.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
hapa kuna watu wamewajaza wa tz ujinga na ni lazima tuuondoe kichwani mwao.Hivi mbu anayeambukiza malaria ni yule wa chumba cha kulala?. maana naona kama watu wachache smart wanapiga hela kwa kuuza vyandarua na wasomi wote ktk secta ya malaria wameshindwa kufikiri nje ya box.

Vita dhidi ya malaria ilipiganwa hata na wanaotupa fedha za chandarua(USA) lakini hawakuishinda kwa chandarua.

hebu wadau nipeni case study ya nchi iliyoshinda vita ya malaria kwa chandarua?

[h=1][/h]
[h=4]Malaria Overview

There are safe, effective, and affordable tools to prevent and treat malaria.[/h]
Between 2000 and 2006, several countries in Africa saw a 50 percent decrease in malaria by using a combined set of effective interventions, including insecticide-treated bed nets and indoor spraying of homes with insecticides to control mosquitoes, and drug treatments to prevent and cure malaria.[h=4]However, malaria still kills millions of poor people in developing countries and cripples their economies.[/h]Malaria causes nearly 1 million deaths per year, and 85 percent of those who die are children under 5 years of age. Ninety percent of malaria deaths occur in Africa, where the financial cost of malaria is crippling economic development due to the high cost of medicines and reduced productivity.[h=4]The fight against malaria is threatened by growing weaknesses of current tools.[/h]Mosquitoes are becoming resistant to insecticides used in bed nets and sprays, and malaria parasites are becoming resistant to today’s drugs. New methods for controlling mosquitoes and treatments are urgently needed if malaria is to be eradicated.[h=4]We aim to improve existing and develop new tools to prevent and treat malaria. Our long-term goal is to eradicate this deadly disease.[/h]
[h=4]Develop malaria vaccines[/h]
We believe a preventive vaccine would provide the best long-term hope to defeat malaria, and would be especially beneficial for those at greatest risk: infants, children, and pregnant women. Our goal is to ensure the development and launch of a safe, effective, and affordable vaccine against malaria by 2025.[h=4]Develop more effective and affordable drugs and diagnostics[/h]Though current treatments for malaria are highly effective, they are expensive for people in poor countries and malaria parasites are becoming increasingly resistant to them. Our strategy supports the development and delivery of new malaria drugs, particularly for treating acute malaria in at-risk populations, including infants, young children, and pregnant women.[h=4]Develop new tools to control mosquitoes[/h]Insecticide-treated bed nets and indoor spraying of insecticides in homes has been a successful approach for controlling mosquitoes. However, mosquitoes are becoming more resistant to today’s insecticides. We’re supporting the development of new active ingredients and products that combat insecticide resistance.[h=4]Research the effectiveness of malaria interventions[/h]Better data are needed to tell us what works in malaria control. We’re supporting efforts to evaluate malaria control interventions and study how to best deliver such interventions.[h=4]Advocate for policies and financing[/h]The last decade has witnessed major new investments in malaria control efforts around the world. However, continued investments and policies are needed to maintain and expand access to tools for prevention and treatment, and to develop new strategies and interventions to stay ahead of the emerging resistance to drugs and insecticides. We’re working to advocate for increased funding and effective policies for malaria research and control.
 
mana nyie apo juu mnaosema twende wizara ya afya,na upupu wa cuba.....
uo ni mpango wa miaka mingapi wa kunyunyiza dawa ktk mazalia ya mbu ili malaria itokomee na ni dawa gani????
neti ni rubbish na hatuwezi tumia neti ndogo km nn cjui,na wote waliokuja na iyo idea mabwege tu..
mtupe mpango wa miaka mingapi ktk ayo mazalia ya mbu,hata matangazo yanawashinda basi?
nilipo apa ao watu wenu wa kunyunyiza dawa hata hatujawai sikia kwa mwenyekiti wala balozi wa mtaa

Mr Zitto,sijaelewa leo nimeskia redioni India na malaria???wapi na wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom