Pole sana Mh.ZITTO kumbe na wewe hutumii chandarau!

Acha kukurupukia hoja kwa kuandika vitu usivyovijua wala kuwa na ushahidi navyo.Basi hao wataalamu kama wangekuwa wanajua hilo wasingekuwa wanatoa ushauri wa kutumia net kama kinga madhubuti dhidi ya malaria.Wamefanya utafiti ndio wakaja na hiyo suluhu.
Kwenye hiyo statement yako leta chanzo cha hiyo tafiti yako.Wewe kwa kuwa ni mshabiki wa Zitto unachangia hoja kishabikikwani

Kweli kaka wewe ni juha bongo kungekuwa na wataalam wangemshauri jakaya akienda kwa obama akaombe dawa za famigeshen sio vichandarua vya futi 3 kwani bila ya kuwaangamiza mbu malaria itazidi kutuua wataalam wa bongo wamejazwa mashinikizo ya wana siasa wetu uchwara wa magamba hata mimi ningekuwa waziri wa afya ningemshauri rais aachane na vyandarua
 
Hivi kweli ni malaria ama MARARIA!! Malaria ni ugonjwa maskini si kama mtu mwenye Hammer kama Zitto. There is something hidden there
Prof Mwandosya
Dr Mwakyembe
Dr Chami
Zitto
Ama Uchawi
 
Serikali ya CCM imejipanga vema kuakikisha kila mwananchi anapata chandarua cha bure kwaiyo mh. Zitto asisite kupokea. zamu kigoma ikifika. kweli malaria haichagui POLE MH. ZITTO.
 
hapa kuna watu wamewajaza wa tz ujinga na ni lazima tuuondoe kichwani mwao.Hivi mbu anayeambukiza malaria ni yule wa chumba cha kulala?. maana naona kama watu wachache smart wanapiga hela kwa kuuza vyandarua na wasomi wote ktk secta ya malaria wameshindwa kufikiri nje ya box.

Vita dhidi ya malaria ilipiganwa hata na wanaotupa fedha za chandarua(USA) lakini hawakuishinda kwa chandarua.

hebu wadau nipeni case study ya nchi iliyoshinda vita ya malaria kwa chandarua?
niliwahi kusikia eti mbu wanaoambukiza malaria ni wale waumao usiku wa manane,kwa maana hiyo wale wanaotuuma wakati tukiangalia taarifa ya habari saa mbili usiku au hata wakati wa msosi wa usiku (ule wa mezani) hawaambukizi malaria!!!na kama vile hiyo haitoshi wakasema mbu wanaotua kwenye chandarua chenye dawa bila kufa huyo pia haambukizi malaria!!!hawa jamaa hawa utafiti wao naona kama nguvu za giza vile.....
 
Nachukua nafasi hii kumpa pole MPIGANAJI MACHACHARI WA MASLAHI YA TAIFA HILI....Mh. ZITTO, POLE SANA! Pamoja na hayo,uchunguzi wa kitabibu umeonyesha anasumbuliwa na malaria (vidudu 120)! Ni mara nyingi viongozi wetu wamekuwa wakisisitiza suala la utumiaji wa vyandarua tena vyenye dawa na kwa nia thabiti ya kukomesha malaria nchini,mkuu wa nchi aliwahi kupokea TAKRIMA ya vyandarua alipotembelewa na swahiba wake, George BUSH! Hoja yangu, watu wengi wanasumbuliwa na malaria hadi sasa japo vyandarua vimejaa kila kona na kuna uhamasishaji wa kutosha,tuamini havina uwezo wa kutukinga na malaria au watu tumepuuza kuvitumia!!!?

Unclw Je Jei wewe ulipo sasa hivi una chandarua? Sitaki kuamini kuwa wewe ni kilaza, du! Yaani unataka tuamini iwapo Zitto yuko sehemu fulani afu tuseme kuna kuna tafrija ya usiku na yeye amehudhuria aende na chandarua?
 
Chandarau ni nini au una wenge la ucngizi. Kwa taarifa yako unaweza ukawa unatumia net kila cku na ukawa na malari kwani wakati wa ucku ukiwa mezani unakula au unafanya shughuli nyingine yoyote ukang'atwa na mbu na ukapata malaria. Usikurupuke kuandika kitu bila kufikiria.

Siyo kweli, mbu wanaoambukiza Malaria huanza kuuma usiku wa manane. Kitendo cha Zitto kuugua Malaria kinaashiria kuwa mbunge huyu ana dharau sana kiasi cha kuacha hata kutumia chandarua chake ili kujikinga na Malaria.
 
Hivi ile kampeni ya JK na wasanii wa bongo fleva kuhsu Malaria no mor imeishia wapi? Kweli TZ ni kiboko
 
katika hoja ambazo sikubaliani nazo ni kutokomeza malaria kwa kutumia chandarua..hata siku moja! dawa ni kutokomeza vimelea vinavyosababisha kuenea kwa mbu mitaani....nina uhakika kabisa kama tutahakikisha hakuna mbu kabisa Tanzania hii malaria itatoka wapi? watu kila siku netiii netiii, kwanini tusiwaondoe hao mbu? kama ni dawa zipo..uzembe tu na kutokuwa makini
 
Namkumbuka Amina Chifupa RIP
wakuu, hivi kuna mtu anakufa na ukimwi zama hizi? midawa kibao hadi tunawapa kuku na nguruwe kuongeza uzito - aaaaaaa mchungaji vipi tena?

jamaa kapata malaria ya kawaida atapona, ingawa itampelekesha kidogo. tatizo la wabongo mshaunganisha hii issue na lile soo la mkulo la kuifuta ile bodi iliyotakiwa kuchunguza mabillion ya assets za mashirika yetu ya umma.
 
Siyo kweli, mbu wanaoambukiza Malaria huanza kuuma usiku wa manane. Kitendo cha Zitto kuugua Malaria kinaashiria kuwa mbunge huyu ana dharau sana kiasi cha kuacha hata kutumia chandarua chake ili kujikinga na Malaria.

Skip it men... this is too much.. at least for the weakened MP...
 
Mwita25 ni silaha ya maagamizi ---- ni salatani ---- mchochezi ----- al-shabaab wa tanzania. acha kabisa hii kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom