KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Mhh, juzi mama nae alizimia na kulazwa!!POLE SANA MZEE!
alipata aleji ya dawa (drug allergy) jamii ya salfa(s) kitaalam wanaita Steven Johnson syndrome.
Kuna maswali najiuliza
(i) Familia yake haina uangalizi wa ki matibabu? Hawafanyi 'regular and detailed medical chek up?'
(ii)Hawajui dawa aina ya salfa kwa ajili ya maleria si ' drug of choice' ya maleria?
wizara ya afya inasisitiza mseto au dawa (2 in 1) kwa ajili ya matibabu ya malaria na kwamba ilishazuia matumizi ya Single therapy
kwa ajili ya malaria wao hawajui?
(iii) Je ni mara ya kwanza kuugua malaria kwa hiyo hawakuwa na patient medical history?
(iv) Au daktari alieanza kumtibu alikuwa na nia mbaya na anahitaji kufuatiliwa? Kwa sababu Steven Johnson syndrome.si common!
Jamani tujijali wenyewe na famila zetu, ukifa hurudi inabaki historia