Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Tupo wawili. mimi nipo tanga na mwenzangu yupo morogoro na binti yupo dar es salamu. Kiufupi kabisa huyu binti ni wa mwenzangu ila ilitokea tukapendana kutokana na ukaribu wetu kwa sababu kuna kipindi alikuwa yupo tanga. Sasa basi kuna jambo ambalo limeshatokea na binti ana mimba ameniambia hana huakika kama ni ya kwangu au ya mwenzangu. kwa mlio na uzwefu na haya mambo tuone ushauri tufanyeje hapa na ukizingatia bado kama siku chache wakatambulishane.
We ni kilometa wa ukweee! ngojawaje wakupe nasaha.