Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Niliandika hapa kwamba moto kuhusu katiba mpya uliowashwa na CHADEMA hakuna wa kuuzima. Sasa ni kuendelea kuishinikiza Serikali kwamba hatutaki kuongeza viraka kwenye katiba mpya ambavyo vinavyoulizana mwenzangu umekuja lini, bali tunataka katiba mpya ambayo itaendana na hali halisi ya siasa za vyama vingi nchini na pia kuhakikisha katiba hiyo inapatikana kabla ya uchaguzi ujao 2015. Hongera sana CHADEMA juhudi zenu taratibu zinazaa matunda.
Lazima kuwe na time frame kwamba katiba mpya itapatikana lini, vinginevyo wadanganyika watasubiri kama wazee wa jumuiya ya afrika mashariki