Pinda: Serikali inakabiliwa na hali mbaya kifedha

.............“Tumeagiza matumizi yasiyo ya lazima yasimamishwe, tubane matumizi kwelikweli ili shughuli za serikali ziendelee kama kawaida, kweli mfumuko wa bei unapanda sana ingawa
tumejitahidi kutafuta kila mbinu
, lakini haitusaidii
,” alisema Pinda na kuongeza: “Tumejitahidi kuondoa ushuru wa sukari inayotoka nje, lakini bado haitoshi, mafuta nayo yanapanda bei kila siku hivyo tunaomba wafanyabiashara waisaidie serikali wawe waaminifu wasipandishe bei bila sababu.”
Hata hivyo, Pinda alisema kuwa serikali haijafilisika. “Pamoja na hayo serikali haijafilisika kwani ingekuwa hivyo wewe usingekuwa hapa bungeni?” alihoji.
..............


...........Hii ni disaster kwa Kiongozi Mkubwa kutoa kauli vague kama hizo.......kauli zisizo na substance/mshiko...Hii pekee inaonyesha nijinsi gani Viongozi wetu walivyo incompetent!....Waziri Mkuu ameshindwa kazi......halafu eti anawabembeleza wafanyabiashara....DAMN!.......we are doomed.......

Nchi imewashinda....mnashindwa kufanya maamuzi kwa kulinda maslahi yenu badala ya maslahi ya TAIFA.......Zakumi, Azimio Jipya, Mkandara, Mdondoaji, Companero na EMT....hii ni moja ya mifano ya kwanini umasikini utaendelea nchini hadi Kiama (kama kipo).........YAANI MIJITU IMEKAA MADARAKANI KAZI NI BLA BLA BLA BLA BLA TU........tokeni kama hamuwezi kazi......damn!​
 
jamani hawa si ndo walogharamia mazishi ya kanumba *na wakatoa rambirambi mil.15!!!!!:A S-confused1:*
 
Kama serikali haijafilisika basi pinda ajue hizo indicater zake!
 
Mimi penda hii!
Labda kwa nyongeza....
10) Rudisha mikoa 17 na wilaya zilizokuwepo kabla ya kuongeza mikoa kuwapatiau laji washikaji wenu
11) Vunja baraza la mawaziri na unda baraza lisilozidi wizara zisizozidi 20. Kwa nini nchi zilizoendelea zina wizara 14, sisi tuwe wizara zaidi ya sitini? Mzigo mkubwa wa serikali umo katika utawala kuliko katika uzalishaji.
12) Vunja makampuni yote ya umma ambayo si wazalishaji na yatakayobakia kwa kuwa niwazalishaji yajiendeshe wenyewe.
13) Acha kuwaonea haya wezi serikalini; badala ya mwizi kumsimamisha kazi au kumpangia wizara nyengine, kwanza alipe kila senti aliyoiba na ikibidi kwa interest.
14) Vunja mikataba yote bomu na muanze upya kwa masharti itakayoweka serikali na siyo kwa masharti mtakayowekewa na wawekezaji.
15) Usisamehe kodi kwa wawekezaji ambao mwisho wa yote hawaiingizii faida serikali bali faida yote wanachukua wao.
16) Wekeza katika elimu - taifa linalodharau elimu linafuga wajinga baadaye wanageuka vibaka na wajanja.

Well said bro, especially hapo kwenye kupunguza mawaziri, maana tuna mawaziri wengi hadi wengine hatuwajui.

Halafu unakuta huku kuna wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, meya nk yaani watendaji lukuki lakini wanachofanya hakionekani. Mimi naona mfumo mzima huu wa kiserikali ni mbovu ubomolewe utengenezwe upya, tuwe na viongozi wachache sana kupunguza matumizi. Unaweza kukuta fedha inazokusanya TRA zinatosha sana ni sisi tu ufujaji wetu.Kwenye hii mikoa ni afadhali tuwe na wakuu wa mikoa kama 5 tu! tugawe majimbo wachaguliwe na rais ila wapitie bungeni kuhakikiwa na wawe responsible bungeni.
 
Wanafiki chadema waliolialia mwaka 2012 kuwa hamna fedha maisha magumu ndio hao hao wanaolialia leo mwaka 2017 kuwa maisha magumu!! .

Shame on you nyumbuz
 
Back
Top Bottom