Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Amepwaya sana, mi sijaona cha maana alichofanya na ndo maana naona bora EL hata kama alituibia lakini jamaa anadeliver, akikohoa kila mtu anajua waziri mkuu halali leo sumbawanga kesho mwanza keshokutwa mtwara, hebu kumbukeni jamani. Mtoto wa mkulima kila siku yuko mpanda anafungua tawi la CRDB anawaalika mpaka kina Kibonde nk. naona anawafaa watu wa mpanda na ubunge wake haswaa ndo unaomtosha huu u PM simkubali