Haya makelele mnapiga humu JF ni buree tu, Wazanzibari wakristo wanajihifadhi kama waislam as part ya utamaduni wa Mzanzibari. We endelea kupiga kelele tu.
Mimi in two weeks to come nitakwenda Zanzibar, nikishuka tu bandari ya Malindi nitatembea kwa miguu hadi Michenzani huku nikila KARANGA zangu njia nzima na kunywa MAJI yangu ya Kilimanjaro. Halafu nione kama kuna mtu atathubutu kunishika na kushitaki. Hii sio utani, siku naondoka nitawaanga hapa JF.