Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Mara nyingi sana huwa napata shida sana katika kujua Taifa letu linahitaji katika Ustawi wake, Waziri Mkuu wa Tanzania Mh pinda hivi karibuni alikuwa katika Mataifa mbalimbali ya Asia kwa ajili ya kwenda kujifunza kilimo, Na kuitikia wito wa Kilimo Kwanza,
Tanzania Kipindi cha baba wa Taifa yaani Mwalimu Nyerere alikuwa na Dira maalumu ya Taifa hili na Pia aliweza kufungua Vituo mbalimbali vya utafiti wa kilimo, Kama Chuo cha Utafiti UYOLE, Mwanza, na Lushoto, na shemu mbalimbali katika Taifa la Tanzania, Lakini katika Miaka ya 1992-1997 Vituo vyote vilifungwa na kukosa pesa kabisa katika Tafiti zao na kuondolewa wanasanyasi wote,
Katika Msukumo wake Mwalimu Nyerere aliweza pia Kufungua Chuo cha Kilimo cha SUA, yaani SOKOINE AGRICULTURE, Na pia chuo hiki ni miongoni wa vyuo ambavyo vinatoa mchango mkubwa sana katika Taifa la Tanzania na hata kusini wa Jangwa La sahara, Kama kweli Taifa letu lina Nia ya dhati ya kuendelea kilimo basi mambo yafuatayo yafanyike
1: Kujua na kutambua mchango wa Wataalamu wa Ndani yaani Taifa la Tanzania Chuo cha Sokoine University, Kuwatumia na kujua kuwa wanaweza kufanya mambo makubwa katika utafiti wao
2. Serikali kuweka bajeti kubwa katika Tafiti za Kilimo na kuwekeza katika rasilimali watu yaani wataalamu wa ugani na kutoa motisha kubwa katika pesa na kuwekeza kwa hali ya juu
3. Kurudisha wataalamu wote wa Taifa hili walio nje ya Tanzania na kuwapa mishahara mikubwa katika taifa la Tanzania
4. Kutumia Tafiti mbalimbali ambazo zipo katika maktaba za vyuo mbalimbali za Taifa la Tanzania na sehemu mbalimbali
5. Kuwekeza katika sekta binafisi na kutoa incentives binafsi na kuona kuwa wanaweza kufanya mambo yao kwa kupata support ya Serikali
6. Kuwekeza pesa nyingi sana katika chuo cha SOKOINE na kuona watu wa ndani na maarifa yao yanatumika ipasavyo.
7. Kuimarisha maeneo yote ya sekta mbalimbali kama Barabara, Pembejeo za kilimo, na idara ya mifugo.
8: Hata kama watu toka Korea Kusini wakija watatumia tafiti zetu za ndani katika kuangalia na kusoma mazingira ya hapa ndani.
9:Wafanyakazi wa Idara ya Kilimo wapewa motisha katika kubuni mbinu mbalimbali katika kuendeleza kilimo chetu
10: Kuwekeza katika kilimo ambacho ni sustainable agriculture
NB: Hakuna haja ya kwenda kujifunza South Korea , Indonesia na Taiwan wakati humo ndani tunaweza kufanya mambo makubwa sana, Kipindi cha ujamaa watu na Taifa lilikuwa katika hali nzuri sana kuliko hali ilivyo hivi sasa
Nataka kutoa machozi sasa hivi
Tanzania Kipindi cha baba wa Taifa yaani Mwalimu Nyerere alikuwa na Dira maalumu ya Taifa hili na Pia aliweza kufungua Vituo mbalimbali vya utafiti wa kilimo, Kama Chuo cha Utafiti UYOLE, Mwanza, na Lushoto, na shemu mbalimbali katika Taifa la Tanzania, Lakini katika Miaka ya 1992-1997 Vituo vyote vilifungwa na kukosa pesa kabisa katika Tafiti zao na kuondolewa wanasanyasi wote,
Katika Msukumo wake Mwalimu Nyerere aliweza pia Kufungua Chuo cha Kilimo cha SUA, yaani SOKOINE AGRICULTURE, Na pia chuo hiki ni miongoni wa vyuo ambavyo vinatoa mchango mkubwa sana katika Taifa la Tanzania na hata kusini wa Jangwa La sahara, Kama kweli Taifa letu lina Nia ya dhati ya kuendelea kilimo basi mambo yafuatayo yafanyike
1: Kujua na kutambua mchango wa Wataalamu wa Ndani yaani Taifa la Tanzania Chuo cha Sokoine University, Kuwatumia na kujua kuwa wanaweza kufanya mambo makubwa katika utafiti wao
2. Serikali kuweka bajeti kubwa katika Tafiti za Kilimo na kuwekeza katika rasilimali watu yaani wataalamu wa ugani na kutoa motisha kubwa katika pesa na kuwekeza kwa hali ya juu
3. Kurudisha wataalamu wote wa Taifa hili walio nje ya Tanzania na kuwapa mishahara mikubwa katika taifa la Tanzania
4. Kutumia Tafiti mbalimbali ambazo zipo katika maktaba za vyuo mbalimbali za Taifa la Tanzania na sehemu mbalimbali
5. Kuwekeza katika sekta binafisi na kutoa incentives binafsi na kuona kuwa wanaweza kufanya mambo yao kwa kupata support ya Serikali
6. Kuwekeza pesa nyingi sana katika chuo cha SOKOINE na kuona watu wa ndani na maarifa yao yanatumika ipasavyo.
7. Kuimarisha maeneo yote ya sekta mbalimbali kama Barabara, Pembejeo za kilimo, na idara ya mifugo.
8: Hata kama watu toka Korea Kusini wakija watatumia tafiti zetu za ndani katika kuangalia na kusoma mazingira ya hapa ndani.
9:Wafanyakazi wa Idara ya Kilimo wapewa motisha katika kubuni mbinu mbalimbali katika kuendeleza kilimo chetu
10: Kuwekeza katika kilimo ambacho ni sustainable agriculture
NB: Hakuna haja ya kwenda kujifunza South Korea , Indonesia na Taiwan wakati humo ndani tunaweza kufanya mambo makubwa sana, Kipindi cha ujamaa watu na Taifa lilikuwa katika hali nzuri sana kuliko hali ilivyo hivi sasa
Nataka kutoa machozi sasa hivi