Pinda ashindana na Riziwan: Naye anajenga Tuangoma Live

Safi sana mwanaume tafuta pesa sio kuuza sura.Mizengo Kayanza hongera
 
kuna viongozi wananunua vijiji vizima, wapo walionunua heka 20,000, kwa hiyo PM kununua heka 2 sioni kama ni tatizo. Tuweni fair hicho kiwango PM anamudu bana.

Mkuu hakuna anayepinga pinda kununua heka 2,title inasema pinda ashindana na rizmoko naye anajenga Toangoma Live,pili ardhi ya kijiji ni cheap sana njoo nikupeleke kijiji flani hiv heka moja ni sh10,000Tsh kwahyo kwa hela ya mil45 angepata heka 5000! So sio issue sana!!
 
Achan majungu na nyie pigen issue nkajenge hzo dar recorded kila investment ni ya riz two,kwan yey 2 ndo anaziona hzo investment opportunity? Sas mnamgeukia nyoosha..Loh kuweni objective bhana
 
Ni kwasababu hizi ni zama za Siasa ni Uwekezaji, zama za Siasa ni kilimo zilishazikwa. Kule Kenya(Wenzetu katika EAC) ni kawaida Mwanasiasa kuwa Tajiri, kwamba Uhuru Kenyata ni mwanasiasa lakini pia ni Bilionea na bado anautaka Urais wa Kenya. Huku kwetu hii kitu naona bado haijawaingia akilini Watanzania wengi.
 
Achan majungu na nyie pigen issue nkajenge hzo dar recorded kila investment ni ya riz two,kwan yey 2 ndo anaziona hzo investment opportunity? Sas mnamgeukia nyoosha..Loh kuweni objective bhana

Mkuu mbona povu sana? We ni Edward yupi? Huyu huyu au Edward Peter M.K.Pinda?
 
Cha jabu nini?? Kiongozi aliyehudumu serikalini tangu awamu ya kwanza mpaka leo hii atashindwa kufanya hayo????
Binafsi namtetea pinda hata kama atajenga mradi wa billioni moja ni haki kabisa.
Pinda yuko serikalini kabla hata Maige hajazaliwa lakini leo hii Maige kaingia serikalini hata miaka 10 haijapita anamiliki nyumba ya mil. 700. Itakuwa kwa Pinda!!
 
HUKU ndio kufikiri kijamaa! hivi kuna ubaya gani mtu kumiliki kitu kama hicho kama fedha alizo tumia hajaiba? asipoweza kujenga waziri mkuu kaukumbi nani ajenge? siyo kila anaye fanya jambo la maendelea kaiba!!!! fursa za mikopo kwa wanao kopesheka ni nyingi, mtu kama waziri anaweza akakopeshwa hata fedha za kujengea kiwanda nini kaukumbi!!! kuwa mwanasiasa maana yake siyo kutokuwa nachO.MBONA KUNA WATU WADOGO WANAMILIKI MAMBO MAKUBWA NA HAWAJAIBA!!! VIJANA CHAPENI KAZI MATUNDA MTAYAPATA.THINK GREAT AND YOU WILL BE GREAT AND MIGHTIER THAN YOU CAN IMAGINE.
 
HUKU ndio kufikiri kijamaa! hivi kuna ubaya gani mtu kumiliki kitu kama hicho kama fedha alizo tumia hajaiba? asipoweza kujenga waziri mkuu kaukumbi nani ajenge? siyo kila anaye fanya jambo la maendelea kaiba!!!! fursa za mikopo kwa wanao kopesheka ni nyingi, mtu kama waziri anaweza akakopeshwa hata fedha za kujengea kiwanda nini kaukumbi!!! kuwa mwanasiasa maana yake siyo kutokuwa nachO.MBONA KUNA WATU WADOGO WANAMILIKI MAMBO MAKUBWA NA HAWAJAIBA!!! VIJANA CHAPENI KAZI MATUNDA MTAYAPATA.THINK GREAT AND YOU WILL BE GREAT AND MIGHTIER THAN YOU CAN IMAGINE.
 
Hivi tangu akae madarakani ameshindwa kupata hizo milioni kihalali? Aaaaa mnachosha tena wapenzi wa cdm, tena mtu ukiwa serikali ndo usifanye lolote kwa ajili ya kujiendesha? Msituzingue bana Jenga Pinda, wacha waseme na hakuna cha kutaifishwa wala cha kupelekwa segerea, HONGERA SANA PINDA! Wacha tu WAPENZI WA CDM wanong'one, usijali ni uvivu wao wa kufikiria kama unao uwezo wa kupata more then 40 mil kihalali.

Ata mie ningekuwa waziri mkuu mshahara niupatao naanzisha biashara yangu binafsi, unatakiwa ufikiri nje ya siasa
 
mimi nashangaa sana nchi ya watu wenye uchochezi na majungu, ndio maana hatuendelei kwakweli, kipindi hiki ambacho kuna bajeti dodoma ungetarajia watu wajadili bajeti lakini badala yake watu wanajadili eti kiongozi kanunua heka mbili anashindana na mtoto wa kiongozi. hivi sisi watanzania tumemkosea nini mungu??? tuna mawazo mgando ambayo yanatufanya badala ya kuendelea tuna dumaa kimaendeleo. Watanzania tubadilike. Naomba, tumsikilize Zito na Bajeti mbadala anasema nini kwa manufaa na maslahi ya nchi yetu leo na vizazi vijavyo.
 
Hivi tangu akae madarakani ameshindwa kupata hizo milioni kihalali? Aaaaa mnachosha tena wapenzi wa cdm, tena mtu ukiwa serikali ndo usifanye lolote kwa ajili ya kujiendesha? Msituzingue bana Jenga Pinda, wacha waseme na hakuna cha kutaifishwa wala cha kupelekwa segerea, HONGERA SANA PINDA! Wacha tu WAPENZI WA CDM wanong'one, usijali ni uvivu wao wa kufikiria kama unao uwezo wa kupata more then 40 mil kihalali.

Ata mie ningekuwa waziri mkuu mshahara niupatao naanzisha biashara yangu binafsi, unatakiwa ufikiri nje ya siasa

Chilubi Tatizo ni mgongano wa maslahi. Kwaheri Azimio la Arusha, kwaheri miko ya uongozi,...........
 
Chilubi Tatizo ni mgongano wa maslahi. Kwaheri Azimio la Arusha, kwaheri miko ya uongozi,...........

sasa kununua hekari mbili kuna mgongano gani wa maslahi? basi kama ni hivyo viongozi wote wa Tanzania kuanzia mwalimu na wengine wote wana mgongano wa maslahi kwa maana wote walimiliki hekari kadhaa. Tena mwalimu aliku na shamba kubwa tu..
 
Cha jabu nini?? Kiongozi aliyehudumu serikalini tangu awamu ya kwanza mpaka leo hii atashindwa kufanya hayo????
Binafsi namtetea pinda hata kama atajenga mradi wa billioni moja ni haki kabisa.
Pinda yuko serikalini kabla hata Maige hajazaliwa lakini leo hii Maige kaingia serikalini hata miaka 10 haijapita anamiliki nyumba ya mil. 700. Itakuwa kwa Pinda!!
Tatizo si kukaa seriklinini kwqa muda mrefu. kwani serikalini kuna hela ngapi kwa mtu mmoja? watu wanastaafu hela wanazopata hazitoshi hata kumaliza nyumba ya kawaida tu. Juzi juzi Pinda alorodhesha mali zake na account ambazo hazikuwa hata na milioni 30. Mrema akajibu kuwa alikuwa na Milioni 37 kama sijakosea na kusema kuwa alimzidi Pinda. Sasa ukisema kukaa Serikalini kwa muda mrefu lazima uwe na uhakika wa mambo. Ina maana Pinda kazipata hizo mali akiwa Waziri mkuu. ISSUE NI KUWA KATIKA NCHI HII IPO FURSA KUBWA KWA VIONGOZI WA KISIASA KUTAJIRIKA KULIKO WANANCHI KUPATA UWEZO HATA KUMUDU MATUMIZI YA KAWAIDA. Mtoa mada bado ana hoja nzito ya kujadili tusijibu kijuujuu tu.
 
Tujaribu kufuatilia mambo. Pinda kujenga si tatizo. Laikini tunaangalia historia ya mtu kwamba miaka miwili alikuwa analia njaa na watu kumwita mtoto wa mkulima. maaana yake ni kuwa Watanzania walikuwa na matumaini kuwa wamepata mtetezi yaani mkulima mwenzao anayejua shida za wanyonge.

Sisemi kuwa kwa kujenga mradi mkubwa kaiba La, bali inonyesha kuwa mfumo wetu wa kisiasa na kiuchumi amabao unasimamiwa na viongozi wetu una upendeleo. Pinda anaondoka kwenye kundi la wakulima kuingia kwa wenyenacho kupitia mfumomo uliopo. Wakati huohuo kuna inflation, vifo kutokana na umasikini na wanafunzi wanakosa mikopo n.k.! the fundamental question here is tunawezaje kuwasaidia watu wote kumudu maisha bila kuwanyima fursa viongozi kupata vipato vizuri?

Pinda aendelee, sawa na watanzania waendelee pia. Kwa maana kuwa anekuwa ni Mengi au Manji wanajenga Watanzania wasingehoji. Hii pia ni sehemu ya kujadili bajeti.

POSHO POSHO KWA NANI?
 
Sishangai maana juzi nilionyeshwa ekari 15 za Mzindakaya pale Sumbawanga
 
wakuu hapa hatusemi kwamba pinda amepata fedha kifisadi kununua hizo heka mbili na kujenga Tuangoma Live hapanaaaaaa! Hoja hapa anashindana na Rizone kibiashara,kwani kutoka Mbagala(DarLive) hadi Toangoma Live ni kama Km zisizopungua nne hivyo mh atakua mpinzani kibiashara na riz1!!! Mbona Pinda ana project kubwa sana ambayo inaworth 20times ya hiyo? Unaijua Project yake ya Mkulima vocational Training Centre? Ina hekari takribani 30 ni Chuo cha ufundi kipo Tuangoma huko huko!! Stukeni wakuu mnaenda nje ya mada!!
 
Last edited by a moderator:
HUKU ndio kufikiri kijamaa! hivi kuna ubaya gani mtu kumiliki kitu kama hicho kama fedha alizo tumia hajaiba? asipoweza kujenga waziri mkuu kaukumbi nani ajenge? siyo kila anaye fanya jambo la maendelea kaiba!!!! fursa za mikopo kwa wanao kopesheka ni nyingi, mtu kama waziri anaweza akakopeshwa hata fedha za kujengea kiwanda nini kaukumbi!!! kuwa mwanasiasa maana yake siyo kutokuwa nachO.MBONA KUNA WATU WADOGO WANAMILIKI MAMBO MAKUBWA NA HAWAJAIBA!!! VIJANA CHAPENI KAZI MATUNDA MTAYAPATA.THINK GREAT AND YOU WILL BE GREAT AND MIGHTIER THAN YOU CAN IMAGINE.
Kufikiri kijamaa si kosa kwa sababu nature na maisha ya binadamu vimetengenezwa kwa njia hizo. Mfano katika mazingira kuna hewa, maji ardhi nk. ambavyo kwa pamoja binadamu wote lazima wavipate. Pili binadamu hawezi kuendelea bila binadamu wengine kuwepo. hivohivo mapato ya nchi kupitia kodi n.k. ni vya watu wote yaani watu watagawana kwa usawa kulingana na nafasi walizo nazo. tofauti ya mapato itakuwepo kulingana na kila mtu anvyopambana na mazingira yake. lakini kile kinachokusanywa kwa ajili ya wote ni lazima kiwafikie wote kwa kuzingatia kanunni maalumu yenye kuzingatia usawa ambao ni msingi wa ujamaa. Neno Ujamaa hapa litafsiriwe kama "sisi kwa pamoja" sio kama mfumo wa siasa.
 
Back
Top Bottom