Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Waziri mkuu Mizengo Peter Pinda amesema anakerwa sana na mikataba mibovu ambayo Taifa letu linaingia
Source: Mzalendo - Jumapili 22/10/2011
Source: Mzalendo - Jumapili 22/10/2011
tehe ataishia kusema tu uwezo wa kuwafuatilia hana, mwenzie sokoine mbona alidili sambamba na wahujumu uchumi, yeye anashindwa nini?
Tatizo huyu waziri mkuu amepewa rungu ila hawezi kulitumia, anaishia kulialia. Hii ni hatari sana.
Waziri mkuu Mizengo Peter Pinda amesema anakerwa sana na mikataba mibovu ambayo Taifa letu linaingia
Source: Mzalendo - Jumapili 22/10/2011
hapo blue nimependaKukerwa kunasaidia nini??
Waziri mkuu anatakiwa achukue hatua sio kulialia kama raia wa kawaida!!
Mosi aliyesaini mikataba hiyo mibovu should be taken into task, baada ya hapo mikataba yote ipitiwe na ile inayoumiza walipa kodi wa Tanzania ifutwe hilo wala halihitaji kusemwa bali kutekelezwa endapo tungekuwa na waziri mkuu mwenye "meno"
hapo blue nimependa
Ni kweli mkuu tunahitaji PM mwenye meno angalau awe zaidi ya Magufuli au Edward Lowassa enzi zake tukiachilia mbali suala la ufisadi lililo mgusa