tehe ataishia kusema tu uwezo wa kuwafuatilia hana, mwenzie sokoine mbona alidili sambamba na wahujumu uchumi, yeye anashindwa nini?
He may be a kind of premier we have never expected in our country's history
Waziri mkuu Mizengo Peter Pinda amesema anakerwa sana na mikataba mibovu ambayo Taifa letu linaingia
Source: Mzalendo - Jumapili 22/10/2011
Mpanda kwenyewe akalime wapi ? wameshauza ardhi zaidi ya nusu kwa wadhungu,sasa mtu anaanza kuuza ardhi kwao Watanzagiza wengine tutapona kweli ?huyu pinda kama hana vitu vya kuongea awe anakaa kimya au aende mpanda akalime shamba lake sio kutufanya wajinga hapa
Waziri mkuu Mizengo Peter Pinda amesema anakerwa sana na mikataba mibovu ambayo Taifa letu linaingia
Source: Mzalendo - Jumapili 22/10/2011
Dr. MagufuliWananchi wanalia, Waziri mkuu anali!, nani wa kuikomboa Tanzania?.
Pinda unajiaibisha, bora ungekaa kimya tujue umeshindwa.
Ndio UlieKwa hiyo kama anakerwa sisi tufanyeje?