Nanukuu Yupo Waziri fulani alinifuata na kuniomba nimsaidie ili magari ya mwanaye yaliyokamatwa yaweze kuachiwa, nilimkatalia na kumuhoji kwa kuwa ni mwanao ndio aruhusiwe kufanya biashara haramu? mwisho wa kunukuu kauli ya w/mkuu pinda.
Hii ndio serikali ya kikwete na hawa ndio watendaji wake wakuu. Kazi kweli kweli kama waziri mkuu huwezi kumadabisha mtu kazi yako nini? Unatawala au unaongoza. watanzania tunahitaji mabadiliko makubwa ya utawala.
Hii ndio serikali ya kikwete na hawa ndio watendaji wake wakuu. Kazi kweli kweli kama waziri mkuu huwezi kumadabisha mtu kazi yako nini? Unatawala au unaongoza. watanzania tunahitaji mabadiliko makubwa ya utawala.