ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Waziri mkuu ameendela kulalamika kwamba tatizo la uvushaji wa chakula na sukari kwenda nchi za jirani limekuwa kubwa kwa kuwa kuna baadhi ya vigogo ambapo baadhi ni mawaziri wamekuwa wakijihusisha ktk bishara hiyo ya uvushaji wa bidhaa kwa magendo mipakani.
Mbali na kunihuzunisha imebidi nicheke pia, kwani yeye kama waziri mkuu yuko kwenye nafasi ya kuwashughulikia hao watu badala ya kulalamika hadharani kwa mambo ambayo mbali na kuonyesha udhaifu wake kiutawala anamdhalilisha rais wake kwa kuonyesha kuwa ana wasaidizi ambao ni kama 'wahujumu' uchumi kwa serikali waliyoaminiwa kumsaidia Rais kuiongoza.
Hiv tatizo la Pinda ni lipi linalomfanya mara nyingi awe mtu wa kulalamika badala ya kufanya maamuzi?
Mbali na kunihuzunisha imebidi nicheke pia, kwani yeye kama waziri mkuu yuko kwenye nafasi ya kuwashughulikia hao watu badala ya kulalamika hadharani kwa mambo ambayo mbali na kuonyesha udhaifu wake kiutawala anamdhalilisha rais wake kwa kuonyesha kuwa ana wasaidizi ambao ni kama 'wahujumu' uchumi kwa serikali waliyoaminiwa kumsaidia Rais kuiongoza.
Hiv tatizo la Pinda ni lipi linalomfanya mara nyingi awe mtu wa kulalamika badala ya kufanya maamuzi?