AIR MISSILE 2015
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 524
- 418
Ana yake na ya vijisent.... komba hajui computer....:A S-eek:
Daah!! Hii hatariiii!!!! No wonder wakatulete Div 5!!
Ana yake na ya vijisent.... komba hajui computer....:A S-eek:
tumesha kuhesabia ya mzee sita
Rasimu ya Warioba na Tume ya Mabadiliko ya Katiba = "A" au Rasimu ya Sitta,Chenge na Baraza Maalumu la Katiba = "B"
Piga kura yako kwa kuandika neno "A''au "B" au unaweza kuandika "Warioba au Sitta" ama unaruhusiwa kuandika "(TMK Tume ya Mabadiliko ya Katiba) au (BMK, Bunge Maalum la Katiba)", Uchaguzi ni wako.
Hii post si kwa ajili ya kuchangia.
NIKUPIGA KURA tu, Mwisho ni tarehe 15
Oktoba 2014. (NI HIARI)
Masaa mawili yaliyo pita UKURASA HUU UMETEMBELEWA MARA 1008
- Replies: 93
- Views: 1,008