Wewe mtoa hoja..fafanua kwanza wamefanya nini huko bungeni..toa maelezo yakutosha..ndipo watu wapige kura..sio unauliza kama vile wote tumijifungia Tanganyika..fafanua kwanza..cc Kintekute Moderator
Yaani huyo mtoa mada utadhani shosti yake na spika coz wameendana katika kuharakisha mambo. Kitu hakijajadiliwa wala hakijaandikwa kikajitosheleza kuwa mada lakini kinalazimishwa kupigiwa kura
Hongera wabunge Wa upinzani miswada ya dharura ni ya kifisadi wana haraka ya nini? Hata katibu Mkuu wao Wa ccm amewaponda kwa kupitisha hovyo mambo yanayoletwa Na serikali bila kuhoji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.