EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwasili na ujumbe wake kwenye Uwanja wa ndege wa Bukoba, kwa ajili ya ziara ya siku moja ya kikazi mkoani Kagera ambako pamoja na shughuli nyingine alifungua Baraza la Vijana wa CCM, Wilaya ya Missenyi mkoani humo.
Nape na viongozi waliompokea wakipita katika paredi la Vijana wa CCM
Nape akikata utepe kuingia kwenye uwanja wa Mashujaa, kuzindua Baraza hilo.
Vijana wa baraza la Misenyi wakimsikiliza Nape
Nape akiagana na vijana hao.
Kisha Nape akicheza gofu kwenye viwanja vya mchezo huo vya Dioniz Malizni (kulia) nje kidogo ya mji wa Bukoba wakati wa ziara yake ya kuimarisha chama.
Nape na ziara yake Bukoba ya kuimarisha chama.
Nape akirudi Dar baada ya ziara yake ya kuimarisha chama Bukoba