Kuimarisha Chama ni kuimarisha wanachama na siyo lazima mikutano ya hadharani. Tatizo la Chadema ni kudhani kuwa wakihudhulia Watu wengi mkutanoni ndiyo kukubalika. Hebu mutualizeni. augustino lyatonga Mrema yaliyomkuta 1995 aware uzoefu.
hizo picha zimeonyesha uhalisi wa MAGAMBA, kwa kweli nimependa hizi picha.
lakini hebu jaribu kuangalia kwa makiiiiiiiiiiiini nyuso za wafuasi wa MAGAMBA, umegundua nini?
1. hawaelewi wamefata nini hapo
2. hawajui nini kinaendelea
3. saluti zao ninaonyesha wamefuzu vizuri mafunzo ya mgambo
4. wanawaza wakitoka hapo watakuwa wageni wa nani huku mtaani kwao
5.wanashindwa kutofautisha kati ya Nape na ufisadi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.