Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,439
- 92,803
Baba Lulu yeye na mapaja ya kinadada tu!!....
CCM na wananchama
CHADEMA na wananchi wa Tanzania
Kaaazi kweli kweli!
duh hivi kweli inawezekana jamani? tutoane ushamba. na je huwa angani simu zinapatikana kweli? nipeni jibu.Yan we ulishaona ndege inaenda mbele wao wanaangalia nyuma! ndo CCM ilikufia hivyo, wanachama wake wote hawaoni mbele wanakoenda, wao wanashushwa tu paaa mmefika, hata kama kwenye tope, korongo au shimo!
dah! kweli nape anakubalika kuliko hata CCM yenyewe, cheki umati ulivyosheheni maelfu ya wanachama na wapenzi wa CCM!
duh hivi kweli inawezekana jamani? tutoane ushamba. na je huwa angani simu zinapatikana kweli? nipeni jibu.
Duuh! Jamaa mpaka viti pia wanavifisadi? Ama kweli nyinyi emu ni noumer.Baba Lulu yeye na mapaja ya kinadada tu!!....
Hii ndege iko sawasawa kweli?
hahahahahahahahahaa...nmeipenda hii. inaonekana mikono yake mizito. anapapasa..duh...!!Baba Lulu yeye na mapaja ya kinadada tu!!....
Hongera nape nimependa mbinu zako Mwaka 2015 gombea Uraisi utapata tu.
Sisiemu wanakuonea wivu kwanini hamkukodi magari mlete watu kwenye mkutano
Ilo shada la maua nimelipenda lafanana na lililokuwa kwenye mazish ya kanumba
Nimeipenda hiyo mkuu!!inataka moyo wa kiuendawazimu kuishabikia CCM siku hizi!
Hii ndege iko sawasawa kweli?