TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
wacha maapizo!! miaka ya seventies ulikuwa unaielewa zanzibar na uongozi wake au ulihadisiwa tu ?wacha kivazi hicho cha kuonesha maungo, kuliva BUGA ulikuwa unawekwa ndani na kupigwa Viboko baridi na moto wakati wa kuingizwa na kutolewa jela .
Sawa spear kama umeamua hivyo... naomba wanazenji wenyeji waseme!! hii bichi ya hapa karibu na vile viwanja vya mpira watu wameoga bana!! Na kuna yale maeneo hata baadhi ya vijana walikuwa wanaenda kukatia magogo pale aisee
Kama hutaki basi wa-withdraw observations zangu