Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,136
mmmhhh jamani hao watoto ni aibu kwa wazazi ama walimu wao...mie hata sijui dunia ya sasa ....kuna katoto kamoja jirani yetu hapo kako hapa TPDC..MMH ukikaona kako silent kumbe wana mambo makubwa kuna nyingine tumeshindwa kuzileta huku kuheshimu maadili...wazazi jaribu kuuchagua kama mwanao yupo hapo ujue pa kuanza nae...kil la kheri hakuna kinachoshindikana mtoto akui kwa wazazi