Picha za MNYIKA akitolewa nje ya Viwanja vya Bunge

KIKWEEEEEEEEEEEETEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee CCM JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP, JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP , JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP
 
Labda walitaka John John, awaambie mtukufu rais jitahidi basi kuleta bajeti imara. Unajua hawa jamaa wanapenda kusifiwa tu, wakiambiwa ukweli wanatoa majibu ya hovyo hovyo, JK alipoambiwa serikali yake ina majizi (EPA), akajibu hizo ni kelele za mlango hazimnyimi usingizi, RICHMOND "ajali ya kisiasa", Mgomo wa wafanyakazi "Tatizo ni Mgaya" - akawaita wafanyakazi "Mbayuwayu", Mawaziri kujichotea mangawira "ni upepo tu, utapita" wananchi tunapata shida kemkem yeye ni mautani tu". Ipo siku ataambiwa wananchi wanakuja kuchukua nchi yao, yeye kwa kuishi kimasihara atasema "ni maigizo tu kama Tom and Jerry". Hizi ndio sifa za Rais makini (by Job Ndugai).
 
Kuna haja ya kutafakari kwa kina kama neno dhaifu ni wakati gani likitumika linaleta tafasiri ya tusi na wakati gani linakuwa na maana ya sifa. Kwa uelewa wangu hakuna binadamu asiye dhaifu labda kama tunaukataa udhaifu wakati tukiishi na udhaifu.
Sasa kama Rais ni dhaifu kiuongozi, hiyo ndiyo sifa yake, ingawa kwa upande mwingine anaweza akawa si dhaifu kwenye mambo mengine.
 
angesema kikwete shujaa wangemfanyeje?
UDHAIFU ni sifa kama kusema mkakamavu, mrembo, mbaya, mcheshi nk.

sio kosa kumpa mtu sifa yake.
 
428443_483433348339964_1190126668_n.jpg

angalia askari nao WALIVYODHAIFU KAMA PRESIDA WETU...! uwiiiiii!
 
Afadhali yeye alionyesha kuwa thabiti na msimamo wake! Maana wabunge wengi wa CCM wanlalamika, halafu wakati wa kupitisha wanapitisha bajeti 100%!!
Wakina Sendeka, Mpina, Zambi walionesha msimamo wa kuipinga bajeti kwa hoja za msingi ila yaonekana wamenyamazishwa
 
Chadema mna akili lakini mnashindwa ku2mia akili na nidham katika kusolve mambo na matokeo yake ndo kama haya mwalopoka ovyo.Hii iwe fundisho kwa wengine.
Mweshimuni rais wa nchi na tumieni busara ktk kumkosoa.
 
Kiongozi dhaifu anaongoza watu dhaifu. Kama jk ni dhaifu ilikuaje wamfuate ikulu kwenda kunywa juisi?
 
Katangaza bifu na jk sio?akamuulize lema alifanywaje..chezea mzee wa visasi weye!
 
Kuna haja ya kutafakari kwa kina kama neno dhaifu ni wakati gani likitumika linaleta tafasiri ya tusi na wakati gani linakuwa na maana ya sifa. Kwa uelewa wangu hakuna binadamu asiye dhaifu labda kama tunaukataa udhaifu wakati tukiishi na udhaifu.
Sasa kama Rais ni dhaifu kiuongozi, hiyo ndiyo sifa yake, ingawa kwa upande mwingine anaweza akawa si dhaifu kwenye mambo mengine.

Hapo umenena Mkuu. Kwa kuongezea tu ni kwamba baada ya kutambua kama mtu kuwa dhaifu ni tusi au la tujadili pia hoja ya Mnyika. Rais ni dhaifu. Je ni kweli au si kweli na ni kwa vigezo vp? Na kama ni kweli tufanye nini sasa? Na kama sio kweli, tufanye nini. Mnyika amemdhalilisha rais kwa kauli yake? Kama amemdhalilisha inakuaje? Kama hakumdhalilisha inakuaje? Vipi kuhusu kutolewa nje ya bunge? Tunaipokeaje?
Mimi nadhani tukijadili hayo, basi thread hii italeta maana. Othewise ni kupoteza muda tu!
 
The Hero Mnyika! Wala usiogope hayo mabunge yanayosema una utovu wa nidhamu. Hivi hawajui kizazi hiki? Hakina nidhamu ya woga......
 
KIKWEEEEEEEEEEEETEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee CCM JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP, JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP , JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP

Oil Chafu
 
Kuna haja ya kutafakari kwa kina kama neno dhaifu ni wakati gani likitumika linaleta tafasiri ya tusi na wakati gani linakuwa na maana ya sifa. Kwa uelewa wangu hakuna binadamu asiye dhaifu labda kama tunaukataa udhaifu wakati tukiishi na udhaifu.
Sasa kama Rais ni dhaifu kiuongozi, hiyo ndiyo sifa yake, ingawa kwa upande mwingine anaweza akawa si dhaifu kwenye mambo mengine.
rais wako ni dhaifu tu,utake usitake.ila ni hodari upande wa ziara na totoz.
 
Back
Top Bottom