My simple advise to Mnyika:
Dont let fame get to your head be calm and collected.
Kama una bifu na JK, jaribu kulinganisha notes na Godbless Lema.
Wewe ni mmoja wa vijana wenye akili CDM, dont go to waste!
masopakyindi una nidhamu ya uoga, na watu kama wewe ndio mnaochelewesha mabadiliko, ni afadhali kuwa na mnyika mmoja kuliko kuwa na watu kama wewe elfu moja, hovyo kabisa!