PayGod
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 1,259
- 57
- Thread starter
- #21
baadae moderm yangu, ikiwa na speed zaidi, nitaziweka nyingi zaidi, coz sasa ivi inachukua karibu ya dk 30, kuattach picha moja.
wadau, picha zimeshindikana kuziattach, kutokana tarakea, hakuna huduma ya internet, natumia , moderm ambayo haina speed, ila TBC wameonyesha katika tahari ya habari ya saa 2, usiku.