Nafarijika sana nikiona picha hizi.
Kikwete alitembea na aibu hadi cells za ku sense aibu zina ganzi
Unachekesha kweli JK ni level zingine kabisa.
chadema wana gawa vifaa vya shule pamoja na jezi lakini kikwete nimeona picha juzi anakabiziwa jezi namba 77 halafu utaona mikataba atakayo saini au gharama aliyotumia akiwa huko..
Unachekesha kweli JK ni level zingine kabisa.
hujakosea ni level nyingine.kuna level ya chini na ya juu.msigwa alilisema vyema akili ndogo kutaka tawala akili kubwa
Moja ya swali lililokuwa gumu kwa Mh. Msigwa ni lile lililoulizwa na mtoto alietaka kujua ni kwanini Rais Kikwete aliweza kutoa rambi rambi ya million 10 kwenye msiba wa Steve Kanumba na kushindwa kutoa rambirambi yoyote kwenye msiba wa marehemu Daudi Mwangosi.
Mwisho wananchi waliweza kumchangia mjane wa mwangosi kiasi cha zaidi ya laki mbili.
Msigwa ndio nani katika taifa letu.
Mkuu,namwona Mh MSIGWA anatembelea magongo, amepata matatizo gani? nini kimetokea?du kamchangia msanii mwenzake? Mch. Msigwa huna sehemu katika moyo wako ya kumsitiri dhaifu? ama kweli umemuweka hadharani.