NOTE: I am NOT religious but I love and respect everyone though I am NOT AFRAID of ANYONE except Amighty GOD!
'
Huko Finland katika mji wa Hameenliina image hii inayofananishwa na Virgin Mary imetokea ukutani na jamaa mwenye nyumba alifanikiwa kupata picha mbili. Kabla ya picha hiyo kutokea kulikuwa na hali ya radi na msisimko na paka wa mwenye nyumba alitimua mbio na kujificha. Kwa habiri zaidi Neitsyt Maria ilmestyi ladon seinään Hämeenlinnassa - Katso kuva! | Kotimaan uutiset | Iltalehti.fi.
'
Huko Finland katika mji wa Hameenliina image hii inayofananishwa na Virgin Mary imetokea ukutani na jamaa mwenye nyumba alifanikiwa kupata picha mbili. Kabla ya picha hiyo kutokea kulikuwa na hali ya radi na msisimko na paka wa mwenye nyumba alitimua mbio na kujificha. Kwa habiri zaidi Neitsyt Maria ilmestyi ladon seinään Hämeenlinnassa - Katso kuva! | Kotimaan uutiset | Iltalehti.fi.
Daaah!hyo hata mi skubaliani nayo.ushawah kumuona bikira maria wewe?
Mwanamayu said:Je, na hii picha ya avatar yangu unaweza kusema msalaba wa Yesu unaelea juu ya mlima?
<br />Takbir. Kwa mtaji huu, basi wamchukue tu huyu mwana kondoo wa Allah na wampeleke msikitini awe anaishi mule, na wakati wa swala ya Ijumaa awe anakaa mbele na Sheikh akichangia kwa meee, meee zake za hapa na pale. Mavi ya huyu mwana kondoo, Waumini wayakusanye kwa uangalifu na uadilifu mkubwa na kuyatumia kama kiungo kwenye futari zao. Na kondoo huyu asichinjwe! La Hasha! Bali aruhusiwe kuishi nyumbani kwa Sheikh kama mtoto wake wa kuzaa hadi siku yake ya mwisho ifikapo hapa duniani, ambapo mwana kondoo wa Allah atazikwa kwa tartibu na heshima zote za Kiislamu.
Ooh mother virgin pray for us..
Tumepewa jina mmoja tu la kuliabudu na kulisujudia.. Nalo ni jina la Yesu Kristo.