Picha ya siku

englibertm

JF-Expert Member
May 1, 2009
9,252
6,207
188765_483285888389002_323885849_n.jpg
 
Huyo Mzee kwao huko kwenye migomba wanavyomkubali, ukienda kugombea hao hao wapiga kura wanakuroga


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hilo pozi kaliona bora kiasi cha kubwaga kwenye umande hizo smartphone zake?!
 
Ningekuwa mshauri wake,ningemwomba apumzike mambo ya siasa aangalie afya yake,afya bora ndo utajiri pekee usio mfano,tatizoi kwa wanasiasa wa kiafrika watakuelewa?,wanataka wafe wakiwa marais....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom